Jinsi Tundu Lissu Alivyojikaanga Kwa "Mafuta ya Taaluma Yake!!"

Wakuu,
Haina shaka kwamba Hotuba ya Tundu Lissu imevuta hisia za washabiki wengi wa "Serikali 3/Nchi 3!" Pia nichukue nafasi hii kumpongeza Mheshimiwa huyo kwa kuwasilisha maoni ya wachache na kuchambua Sheria akienda sambamba na historia ya Muungano wetu tangu kuundwa kwake mpaka leo.
Mwanasheria huyo nguli, kama baadhi wanavyomwita ameenda mbali sana, bila kuuma maneno akidai kwamba Muungano wetu wa iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika na iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar hauna uhalali wowote wa kisheria kwa kuwa haukuridhiwa na Baraza la Wawakilishi, hata kama uliridhiwa na Bunge la Tanganyika tu!

Amedai pia kwamba kwa sasa tufute Sikukuu ya Muungano wetu na kuanzisha
"Siku ya Shirikisho!"Kwa hoja hizo za Lissu mimi sina ubavu wa kuzipinga kwa kuwa ametaja na vifungu vya kisheria vya wakati huo, tukubali tu kwamba Muungano HAUNA UHALALI WOWOTE WA KISHERIA!

Hata hivyo, Tundu Lissu alifikiri kwamba hoja hiyo inamu-implicate tu Nyerere ambaye amemtaja mara nyingi kwamba mambo mengi ameyafanya kwa AMRI YA RAIS. Mambo hayo ni kamba vile:
1. Jina la Nchi,
2. Kuiua Tanganyika,
3. Nembo ya Taifa, nk.

Kama Muungano hauna uhalali wowote maana yake nini?

1. Ni kwamba Tundu Lissu alifanya makosa kugombea ubunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano "BATILI," kwa hiyo Ubunge wa Lissu mpaka sasa ni "BATILI!"
2. Kwamba, hata mchakato huu wa kuandika Katiba Mpya ni "BATILI" kwa kuwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba imetungwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano" BATILI,"
3. Kwamba, Tundu Lissu amechangia kutunga Sheria "BATILI" za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa Bunge nalo ni "BATILI,"
4. Kwamba CHADEMA nacho ni chama "BATILI" kwa kuwa kimeundwa kwa Mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa ambayo imetungwa na Bunge "BATILI" la Muungano,
5. Kwamba, shughuli zote za kisiasa za Tundu Lissu hazina uhalali wowote wa Kisheria kwa kuwa zimefanywa kwa kufuata Sheria za Muungano "BATILI,"
6. Kama Lissu ana vyeti vya Shule za Tanzania navyo ni "BATILI" kwa kuwa vimetolewa na Serikali "BATILI,"
7. Kama Tundu Lissu amezaliwa baada ya Muungano na kupewa Cheti cha Kuzaliwa ahesabu kuwa ni "BATILI" mpaka sasa,
8. Kesi zote alizoshinda Tundu Lissu mahakamani ajue kwamba ni "UBATILI" mtupu maana" MUUNGANO HUU NI BATILI," kwa hiyo hata mahakama za Muungano ni "BATILI,"
9. Kama Tundu Lissu ameoa baada ya Muungano ajue kuwa ameumia, ni ndoa "BATILI" hiyo!!!
10..................

Hongera sana Tundu Lissu kwa Hotuba Murua...............Ila usiendelee kuwepo kwenye BUNGE hilo "BATILI" kwa kuwa limeundwa na Sheria "BATILI!!!" Tafadhali sana, I am not joking, this time around!

Bigot....
 
Tatizo langu ni kuwa wanaoamini kuwa Muungano huu ni batili na hauna uhalali hao hao walisimama na kuapa kulinda Jamhuri ya Muungano! Binafsi ningewapa umakini zaidi kama wangeamua kujitoa kwanza na kujivua nafasi zao ambazo zimeingia kwa sababu ya Muungano huu. Hatujawaona Wazanzibari wakifanya hivyo na sasa hakuna Watanganyika wenye ujasiri wa kufanya hivyo. Go figure.

Rejea Uchambuzi wa Mchambuzi hapo Juu,
Usifanye Ushabiki
 
Atoke Bungeni aendelee na shughuli zake, tumechoka dharau zake dhidi ya Mwasisi wa Taifa hili. After all kasomeshwa bure na baba wa Taifa leo analeta dharau hizi mbaya!

Wewe unamwambia atoke bungeni ukiwa kama nani?
 
Kwan baba wa taifa yeye alikua awezi kukosea au yeye alikua mungu tundu lisu alichofanya ni kuainisha mapungufu yake
 
Hata ktk baadhi ya hotuba zake. Mwl. Ametamka wazi wazi kuwav" kuna mengine mabaya tuliyofanya vile vile na mazuri tumefanya. Kwa mabaya tunaweza kujirekebisha na tusiyarudie mabaya yale yale" kwa maana hiyo mwl alikwishakiri makosa. Je, tunamjadili kwa lipi badala ya kurekebisha.
Tunaposhindwa kurekebisha makosa yale basi ni dhahiri cc uwezo wetu ni ndogo mno kuliko! Na kama cc uwezo wetu ni mkubwa basi tusinge komba kodi za wananchi kisha kulikimbia bunge. Fedha hizo tunazipeleka kuongeza nguvu za marohani?
 
Mbunge Lissu atoke Bungeni maana Ubunge wake ni "BATILI!!"

Kama unakubaliana na Lisu kuwa Jamguri ya muungano siyo halali na Bunge siyo halali kwa nini usikubali pia kuwa wajumbe wote wa bunge maalum la katiba siyo halali? Kwa nini usiseme wajumbe wote warudi home? Why only Lisu?
 
Lissu mbunge. Maelewa hivyo au. Mbona anapokea kila kitolewacho na bunge. Sasa inakuwaje fedha azopokee serikali ya jamuhuri na taratibu zake anazikana.
Je inakuwaje ? Naomba kujuzwa vyema
 
Wakuu,
Haina shaka kwamba Hotuba ya Tundu Lissu imevuta hisia za washabiki wengi wa "Serikali 3/Nchi 3!" Pia nichukue nafasi hii kumpongeza Mheshimiwa huyo kwa kuwasilisha maoni ya wachache na kuchambua Sheria akienda sambamba na historia ya Muungano wetu tangu kuundwa kwake mpaka leo.
Mwanasheria huyo nguli, kama baadhi wanavyomwita ameenda mbali sana, bila kuuma maneno akidai kwamba Muungano wetu wa iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika na iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar hauna uhalali wowote wa kisheria kwa kuwa haukuridhiwa na Baraza la Wawakilishi, hata kama uliridhiwa na Bunge la Tanganyika tu!

Amedai pia kwamba kwa sasa tufute Sikukuu ya Muungano wetu na kuanzisha
"Siku ya Shirikisho!"Kwa hoja hizo za Lissu mimi sina ubavu wa kuzipinga kwa kuwa ametaja na vifungu vya kisheria vya wakati huo, tukubali tu kwamba Muungano HAUNA UHALALI WOWOTE WA KISHERIA!

Hata hivyo, Tundu Lissu alifikiri kwamba hoja hiyo inamu-implicate tu Nyerere ambaye amemtaja mara nyingi kwamba mambo mengi ameyafanya kwa AMRI YA RAIS. Mambo hayo ni kamba vile:
1. Jina la Nchi,
2. Kuiua Tanganyika,
3. Nembo ya Taifa, nk.

Kama Muungano hauna uhalali wowote maana yake nini?

1. Ni kwamba Tundu Lissu alifanya makosa kugombea ubunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano "BATILI," kwa hiyo Ubunge wa Lissu mpaka sasa ni "BATILI!"
2. Kwamba, hata mchakato huu wa kuandika Katiba Mpya ni "BATILI" kwa kuwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba imetungwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano" BATILI,"
3. Kwamba, Tundu Lissu amechangia kutunga Sheria "BATILI" za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa Bunge nalo ni "BATILI,"
4. Kwamba CHADEMA nacho ni chama "BATILI" kwa kuwa kimeundwa kwa Mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa ambayo imetungwa na Bunge "BATILI" la Muungano,
5. Kwamba, shughuli zote za kisiasa za Tundu Lissu hazina uhalali wowote wa Kisheria kwa kuwa zimefanywa kwa kufuata Sheria za Muungano "BATILI,"
6. Kama Lissu ana vyeti vya Shule za Tanzania navyo ni "BATILI" kwa kuwa vimetolewa na Serikali "BATILI,"
7. Kama Tundu Lissu amezaliwa baada ya Muungano na kupewa Cheti cha Kuzaliwa ahesabu kuwa ni "BATILI" mpaka sasa,
8. Kesi zote alizoshinda Tundu Lissu mahakamani ajue kwamba ni "UBATILI" mtupu maana" MUUNGANO HUU NI BATILI," kwa hiyo hata mahakama za Muungano ni "BATILI,"
9. Kama Tundu Lissu ameoa baada ya Muungano ajue kuwa ameumia, ni ndoa "BATILI" hiyo!!!
10..................

Hongera sana Tundu Lissu kwa Hotuba Murua...............Ila usiendelee kuwepo kwenye BUNGE hilo "BATILI" kwa kuwa limeundwa na Sheria "BATILI!!!" Tafadhali sana, I am not joking, this time around!

Ovyooooo
 
Atoke Bungeni aendelee na shughuli zake, tumechoka dharau zake dhidi ya Mwasisi wa Taifa hili. After all kasomeshwa bure na baba wa Taifa leo analeta dharau hizi mbaya!
kasomeshwa na nyerere! We c bure akili yako ya kijani..fanya re-seach uckurupuke kusema
 
Kama unakubaliana na Lisu kuwa Jamguri ya muungano siyo halali na Bunge siyo halali kwa nini usikubali pia kuwa wajumbe wote wa bunge maalum la katiba siyo halali? Kwa nini usiseme wajumbe wote warudi home? Why only Lisu?
Aliyetamka kuwa Serikali ya Muungano ni BATILI ni Lissu, kwa hiyo atembee kwenye maneno yake, wengine watafuata mfano kama wamemwelewa!!
 
Kwan baba wa taifa yeye alikua awezi kukosea au yeye alikua mungu tundu lisu alichofanya ni kuainisha mapungufu yake

Mimi sizungumzii "mapungufu" nazungumzia UBATILI wa Muungano na implication zake!!
 
Hizo posho zitokanazo na kodi anazokula huku akisusia Bunge, anafanya hivyo kama nani?

Hao magamba wenzio kwa kipindi cha miaka 50 wamezidi kutuacha masikini kwa ufisadi wao,acha kutetea mambo kishabiki
 
Back
Top Bottom