Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
FP, IPTL is being liquidated lakini kinachoniacha gizani mimi ni hayo mengine kuhusiana na hiyo akaunti na huo mkwanja
Mpita njia,
Nilivyoelewa mimi,hiyo Escow Acounti ilifunguliwa BOT ikiwa chini ya udhibiti wa RITA (Kama Liquidator).
Huo mkwanja 138bil ni madeni ambayo IPTL inawadai wateja wake...hopeful tanesco....lakini kati ya hayo medeni, kuna mengine yana mgogoro na mengine hayana mgogoro.....yale yenye mgogoro malipo yake yanatakiwa kulipiwa kupitia Escrow account wakati yale ambayo ni clean yanalipwa kwenye account ya IPTL!
Mimi maswali yangu on this ni kama kny post yangu hapo juu tu!