Wengi ambao hawana clues za tulikotoka inabidi wasome hii topic:Muungwana alikuwa waziri mwenye dhamana ya nishati wakati IPTL inaanza, mbona hajawajibika kama Karamagi na Richmond ??Hajawahi kulitolea maelezo kabisa suala hili.
Inabidi kuwarahisishia watu kazi:-Mr. Patrick A. Rutabanzibwa, Permanent Secretary, Ministry of Energy and Minerals, Dar-es-Salaam, Tanzania
halafu kuna:
-Mr Theophil Z.M Rugonzibwa-FOR THE IPTL PROVISIONAL LIQUIDATOR
ngoja nikachukue vidonge vyangu vyakushusha presha ili NIENDELEE KUIFUATILIA HII MAMBO
Mr. Patrick A. Rutabanzibwa, Permanent Secretary, Ministry of Energy and Minerals, Dar-es-Salaam, Tanzania
Mr. Rutabanzibwa is currently the Permanent Secretary in the Ministry of Energy of Tanzania, a post he has held for close to a decade. As a Permanent Secretary (a Presidential level appointment), he is effectively the top-most technocrat in Tanzanias energy sector. Mr. Rutabanzibwa has been instrumental in improving the performance of the energy sector in Tanzania. He was one of the senior government officials in Tanzania who was instrumental in halting a lopsided contract between the Government of Tanzania and IPTL, an independent power producer that could have bankrupted the countrys power industry. Mr. Rutabanzibwa was the chairman of the technical team that reviewed and approved the management consulting firm that is managing TANESCO, the state-owned electricity utility. Mr. Rutabanzibwa was one of the founder members of AFREPREN/FWD, but withdrew from active AFREPREN/FWD participation due to pressing commitments arising from his senior position in Tanzanias energy sector.
BY the way: Case Study: Power Deal Tainted by Graft
IN 1995 the Tanzanian's state-owned electricity firm Tanesco signed a power purchasing agreement with Independent Power Tanzania Limited (IPTL), a joint venture between a Malaysian company and a local investor for the purchase of 100MW of power from diesel generators for 20 years. From the start the deal 'was hotly contested by donors and consultants on the grounds of cost, the choice of technology and the projected demand for power', says Brian Cooksey of Transparency International.
The government agreed to pay for the capacity whether or not it was actually needed. In the project's first year, 2002, IPTL was paid $40 million in capacity payments alone, and has functioned at less than 10% of capacity since then. Evidence of alleged corrupt payments to government officials to initiate the deal led to a public outcry and fiery parliamentary debates.
The IPTL deal is considered a bad PPP not just because of the alleged corruption and the high cost of electricity, but also because it was approved without a proper feasibility study and without consulting necessary stakeholders. Tanesco was forced to pay too high a price for electricity that it didn't really need since its major problem was not insufficient generating capacity but rather a lack of gridlines. IPTL's electricity is said to cost 12 US cents per unit compared to the seven and nine US cents per unit supplied by Tanesco. This in addition to the $3 million a month in statutory costs that IPTL charges Tanesco.
Ngoma inogile...
-Mr. Patrick A. Rutabanzibwa, Permanent Secretary, Ministry of Energy and Minerals, Dar-es-Salaam, Tanzania
halafu kuna:
-Mr Theophil Z.M Rugonzibwa-FOR THE IPTL PROVISIONAL LIQUIDATOR
ngoja nikachukue vidonge vyangu vyakushusha presha ili NIENDELEE KUIFUATILIA HII MAMBO
EPA ya kwanza 2000 (?Bn), EPA ya pili 2005 (133bn) now 2010 (137bn)?
Mkuu usiyeonekana, mimi ni mmoja wa maamuma ambao sijaelewa kabisa what this letter implies. Please, mwenye kujua ufafanuzi wa hii barua inamaanisha nini atumwagie ili na sisi tuwe kwenye wavelength moja na wachangiaji wengineOoops!
This' what's up guys:
Mkuu usiyeonekana, mimi ni mmoja wa maamuma ambao sijaelewa kabisa what this letter implies. Please, mwenye kujua ufafanuzi wa hii barua inamaanisha nini atumwagie ili na sisi tuwe kwenye wavelength moja na wachangiaji wengine
Mkuu nadhani hapa tupo pamoja (na mimi). Kuna uzugaji umeshaanza (wa TIB na Noni) kutaka kuwafanya watu waelekeze macho upandwe mwingine wakati mihela ya uchaguzi itachukuliwa through stimulus packagesWakuu,
Na huu ndiyo wakati mwanana wa kujua ECONOMIC RESCUE PACKAGE yetu ambayo nayo imetangazwa hivi karibuni itaelekezwa wapi.