OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,200
- 103,735
Naombeni kujua wakuu wa JF
Napata shida sana kujua namna Rais wetu anavyoweza kuokota vitu kama magari,vichwa vya treni nk pale bandarini
Je, anakuwa katika ziara za kawaita tu then katika mizunguko ya hapa na pale ndio anapata kuokota?
Natambua kuwa Rais ana vyanzo na intelijensia kuwa katika maeneo nyeti. Hivyo taarifa humuijia. Lakini najiuliza kwa nini mpaka yeye tu ndio akaokote?
Nini maana ya mgawanyo wa majukumu?Hakuna vyombo vingine vya udhibiti. Kwa nini isiwe Mabosi wa bandari wenyewe,au PCCB na pengine waziri?
Naona kama watendaji wa Rais mnamkumbatisha Rais kila kitu matokeo yake anakuwa busy mpaka anakosa mda wa kuhudhuria misiba mizito. Matokeo yake mamlaka zingine zinadharaulika kwa kuwa hazina nguvu( Kama TCRA inavyodhalaulika na zile Channel 5)
Anyway kufupisha maelezo
Naomba kujua jinsi Rais anavyookota vitu pale bandarini
Napata shida sana kujua namna Rais wetu anavyoweza kuokota vitu kama magari,vichwa vya treni nk pale bandarini
Je, anakuwa katika ziara za kawaita tu then katika mizunguko ya hapa na pale ndio anapata kuokota?
Natambua kuwa Rais ana vyanzo na intelijensia kuwa katika maeneo nyeti. Hivyo taarifa humuijia. Lakini najiuliza kwa nini mpaka yeye tu ndio akaokote?
Nini maana ya mgawanyo wa majukumu?Hakuna vyombo vingine vya udhibiti. Kwa nini isiwe Mabosi wa bandari wenyewe,au PCCB na pengine waziri?
Naona kama watendaji wa Rais mnamkumbatisha Rais kila kitu matokeo yake anakuwa busy mpaka anakosa mda wa kuhudhuria misiba mizito. Matokeo yake mamlaka zingine zinadharaulika kwa kuwa hazina nguvu( Kama TCRA inavyodhalaulika na zile Channel 5)
Anyway kufupisha maelezo
Naomba kujua jinsi Rais anavyookota vitu pale bandarini