Jinsi Rais anavyookota vitu bandarini

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
48,779
102,149
Naombeni kujua wakuu wa JF

Napata shida sana kujua namna Rais wetu anavyoweza kuokota vitu kama magari,vichwa vya treni nk pale bandarini

Je, anakuwa katika ziara za kawaita tu then katika mizunguko ya hapa na pale ndio anapata kuokota?

Natambua kuwa Rais ana vyanzo na intelijensia kuwa katika maeneo nyeti. Hivyo taarifa humuijia. Lakini najiuliza kwa nini mpaka yeye tu ndio akaokote?

Nini maana ya mgawanyo wa majukumu?Hakuna vyombo vingine vya udhibiti. Kwa nini isiwe Mabosi wa bandari wenyewe,au PCCB na pengine waziri?

Naona kama watendaji wa Rais mnamkumbatisha Rais kila kitu matokeo yake anakuwa busy mpaka anakosa mda wa kuhudhuria misiba mizito. Matokeo yake mamlaka zingine zinadharaulika kwa kuwa hazina nguvu( Kama TCRA inavyodhalaulika na zile Channel 5)

Anyway kufupisha maelezo

Naomba kujua jinsi Rais anavyookota vitu pale bandarini
 
"Mwenda bure sio sawa na mkaa bure, huenda akaokota." - By Mhenga

Anaokota kwa sababu hutembelea hayo maeneo kila mara.

Angekuwa anashinda hapo Ikulu kila siku, angeokotaje vya bandarini?!

[HASHTAG]#Mungu[/HASHTAG] Ibariki Tanzania#
 
Anawajibika vizuri wale walioambiwa ndani ya siku saba watoe maelezo VP wameshatoa au awasafishe kama wanachelewa
 
Naombeni kujua wakuu wa JF

Napata shida sana kujua namna Rais wetu anavyoweza kuokota vitu kama magari,vichwa vya treni nk pale bandarini

Je, anakuwa katika ziara za kawaita tu then katika mizunguko ya hapa na pale ndio anapata kuokota?

Natambua kuwa Rais ana vyanzo na intelijensia kuwa katika maeneo nyeti. Hivyo taarifa humuijia. Lakini najiuliza kwa nini mpaka yeye tu ndio akaokote?

Nini maana ya mgawanyo wa majukumu?Hakuna vyombo vingine vya udhibiti. Kwa nini isiwe Mabosi wa bandari wenyewe,au PCCB na pengine waziri?

Naona kama watendaji wa Rais mnamkumbatisha Rais kila kitu matokeo yake anakuwa busy mpaka anakosa mda wa kuhudhuria misiba mizito. Matokeo yake mamlaka zingine zinadharaulika kwa kuwa hazina nguvu( Kama TCRA inavyodhalaulika na zile Channel 5)

Anyway kufupisha maelezo

Naomba kujua jinsi Rais anavyookota vitu pale bandarini
Kwa sababu lile ni shamba la bibi (yake)
 
Naombeni kujua wakuu wa JF

Napata shida sana kujua namna Rais wetu anavyoweza kuokota vitu kama magari,vichwa vya treni nk pale bandarini

Je, anakuwa katika ziara za kawaita tu then katika mizunguko ya hapa na pale ndio anapata kuokota?

Natambua kuwa Rais ana vyanzo na intelijensia kuwa katika maeneo nyeti. Hivyo taarifa humuijia. Lakini najiuliza kwa nini mpaka yeye tu ndio akaokote?

Nini maana ya mgawanyo wa majukumu?Hakuna vyombo vingine vya udhibiti. Kwa nini isiwe Mabosi wa bandari wenyewe,au PCCB na pengine waziri?

Naona kama watendaji wa Rais mnamkumbatisha Rais kila kitu matokeo yake anakuwa busy mpaka anakosa mda wa kuhudhuria misiba mizito. Matokeo yake mamlaka zingine zinadharaulika kwa kuwa hazina nguvu( Kama TCRA inavyodhalaulika na zile Channel 5)

Anyway kufupisha maelezo

Naomba kujua jinsi Rais anavyookota vitu pale bandarini
awamu hii haruhusiwi kiongozi au mtu mwingine yeyote kutangaza publicly mambo ya "wizi" na "majizi". ni mtu mmoja tu!

hiyo ni mbinu ya kisiasa ya CCM.

sasa, badala ya UKAWA/upinzani ku-join bandwagon ya kulalamika, yawapasa wa-take leadership ya kupata mbinu za ku-counter na ku-negate hii kwani inampa jamaa political mileage.
 
Naombeni kujua wakuu wa JF

Napata shida sana kujua namna Rais wetu anavyoweza kuokota vitu kama magari,vichwa vya treni nk pale bandarini

Je, anakuwa katika ziara za kawaita tu then katika mizunguko ya hapa na pale ndio anapata kuokota?

Natambua kuwa Rais ana vyanzo na intelijensia kuwa katika maeneo nyeti. Hivyo taarifa humuijia. Lakini najiuliza kwa nini mpaka yeye tu ndio akaokote?

Nini maana ya mgawanyo wa majukumu?Hakuna vyombo vingine vya udhibiti. Kwa nini isiwe Mabosi wa bandari wenyewe,au PCCB na pengine waziri?

Naona kama watendaji wa Rais mnamkumbatisha Rais kila kitu matokeo yake anakuwa busy mpaka anakosa mda wa kuhudhuria misiba mizito. Matokeo yake mamlaka zingine zinadharaulika kwa kuwa hazina nguvu( Kama TCRA inavyodhalaulika na zile Channel 5)

Anyway kufupisha maelezo

Naomba kujua jinsi Rais anavyookota vitu pale bandarini
Haitakiwi uulize ila ushangae tu,ukiona baba yako anajitekenya na kucheka mwenyewe inabidi uanze kujipanga kumpeleka hospitalini,kama sio muigizaji basi akili inaruka,CCM hiyo hiyo inakunya sebuleni halafu ikisafisha inatangaza kwenye Tv halafu tunashangilia.
 
```Naye akawajibu "Msinililie Mimi, jililieni ninyi na kura zenu, kwa maana hakuna aliyewalazimisha mpange foleni siku ile." Basi wakainamisha nyuso zao kwa huzuni, wala wasiweze kumjibu. Naye akiisha kusema hayo akapita katikati yao akaenda zake bandarini``` *_(Watanzania 5:20)_*
Huyu ni mtu wa ajabu kwelikweli ati anasema vyuma vimekaza kwa waliokuwa na vyeti feki? Hata wauza bar nao walikuwa na vyeti feki? Shame
 
na anavyookota dhahabu na dola J NIA..
huyu anaokotaga hadi nyumba..
aliwahi kuokota nyumba ya Lugumi..
ukiamini pombe ni chaguo la mungu basi amini mimi ni mpagani..
yaani huyo mungu anaeleta wapora haki hadi za uchaguzi na wapiga risasi, wakabila a k a MAMPWA WANAPENDEZA, huyo mungu mimi hanifai
nabaki Afrika.
 
Huwa haokoti isipokua huwa anajua kila kinachoendelea na akiona kuna taarifa inataka kumfunika kama ya lissu, bhasi hufanya juu chini aende bandarini ili akameki headline ya wiki kwa kujifanya anawaumbua watendaji wasioendana nae na ukiona hivyo bhac kuna mtendaji au waziri amekaribia kutumbuliwa hivi karibuni, au ana kinyongo na mmoja ya mawaziri siku si nyingi huyu atatumbuliwa, ni yule alioonekana hana mawasiliano ni kwanini magari ya jeshi hayajatoka bandarini muda wote huu, ni yule magulu machemba:))
 
Huyu ni mtu wa ajabu kwelikweli ati anasema vyuma vimekaza kwa waliokuwa na vyeti feki? Hata wauza bar nao walikuwa na vyeti feki? Shame
Dah...labda kwasababu ya vile viti vilivyokuwa vinalipiwa kwa mwezi chief
 
Naombeni kujua wakuu wa JF

Napata shida sana kujua namna Rais wetu anavyoweza kuokota vitu kama magari,vichwa vya treni nk pale bandarini

Je, anakuwa katika ziara za kawaita tu then katika mizunguko ya hapa na pale ndio anapata kuokota?

Natambua kuwa Rais ana vyanzo na intelijensia kuwa katika maeneo nyeti. Hivyo taarifa humuijia. Lakini najiuliza kwa nini mpaka yeye tu ndio akaokote?

Nini maana ya mgawanyo wa majukumu?Hakuna vyombo vingine vya udhibiti. Kwa nini isiwe Mabosi wa bandari wenyewe,au PCCB na pengine waziri?

Naona kama watendaji wa Rais mnamkumbatisha Rais kila kitu matokeo yake anakuwa busy mpaka anakosa mda wa kuhudhuria misiba mizito. Matokeo yake mamlaka zingine zinadharaulika kwa kuwa hazina nguvu( Kama TCRA inavyodhalaulika na zile Channel 5)

Anyway kufupisha maelezo

Naomba kujua jinsi Rais anavyookota vitu pale bandarini
Yan natamani ningekuwa na bahati kama hiyo, bahati mbaya tu sikuzaliwa bichwa kubwa
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom