Jinsi Pasco atakavyobadili siasa za Tanzania

Unajua ww Azizi huwa unaongea kama mtu mwenye Busara lakini ndani ya busara yako kuna ujinga fulani. Nadhani ni mtu uliyesoma sana dini kiasi kwamba unajichanganya kwenye mada zako. Sasa hii mada unampamba Paskali ili iwe nini kama sio unamchora tu?unasema Paskal atakuwa rais wa nchi hii 2035, sasa hivi ana miaka 50+, hiyo 2035 atakuwa karibu 70, sasa umri huo bado atakuwa na jipya? Acha wendawazimu wako. Halafu hii mada sio ya jukwaa la siasa pls, ww Ni mzoefu wa hili jukwaa do the needful.
Mkuu mbona povu kali sana! Kulikoni? Ulikuwa na nia ya kugombea hiyo 2035 nini? Hilo la Pasco kuwa rais naona ni kama panadol ya kupunguza maumivu tu. Tiba hasa ilikuwa anataka kumwambia ajikekebishe kwenye utoaji hoja wake.... Ni mawazo yangu lakini.
 
Unajua ww Azizi huwa unaongea kama mtu mwenye Busara lakini ndani ya busara yako kuna ujinga fulani. Nadhani ni mtu uliyesoma sana dini kiasi kwamba unajichanganya kwenye mada zako. Sasa hii mada unampamba Paskali ili iwe nini kama sio unamchora tu?unasema Paskal atakuwa rais wa nchi hii 2035, sasa hivi ana miaka 50+, hiyo 2035 atakuwa karibu 70, sasa umri huo bado atakuwa na jipya? Acha wendawazimu wako. Halafu hii mada sio ya jukwaa la siasa pls, ww Ni mzoefu wa hili jukwaa do the needful.

Hata mimi nimeshangaa! Mtoa mada bila shaka anatafuta ajira hivyo anataka tu ampambe mwandishi wetu nguli wa habari ili ampe shavu wakati wa maonesho ya Saba Saba na Nane Nane!

Haiwezekani tuwe na Rais mwenye miaka 70's usawa huu! Miaka hiyo ya 2030's tunamtegemea Mkuu wetu Pasco iwapo Mungu atamjalia uzima (Inshallah) kuwa kama kale kababu Hamza Kasongo, au kale kengine Makwaiya wa Kuhenga! Full busara, full kufaidi uzee wake na wajukuu wake nyumbani, nk.
 
Akirekebisha machache

Sawa... Akiendelea na tabia zake alivyoanza hivi karibuni asahau

Anyway wengi tunamtakia mema humu ndani huyu jamaa etu
 
Huyu jamaa akiacha kuegemea CCM atakuwa mtu mkubwa sana,ila kwa namna ninavyomuona sasa anakoelekea siko kabisa.
Jamaa tangia kipindi kile ameitwa na tume ya maadili amekengeuka sana.
 
Pasco ana akili na mimi namkubali ila sometimes anajitoa ufahamu lakini zamani huko nyuma hakuwa hivyo sijui nini kimemfanya awe hivi.
 
Yaani huyu Paskali Mayalla homeboy wa Magufuli......?!
You.must be joking my friend. Unakumbuka siku ile Magufuli alipoongea na watu wa Media na baada ya kuuliza swali konki Magufuli akamwambia "NJAA" inamsumbua maana alizaliwa wakti wa njaa. Jina Mayalla kwa Kisukuma lina maana ya njaa!
Inawezekana kweli mtu hajawahi kuwa hata Mtendaji wa kijiji,Mbunge au Mkurugenzi wa Taasisi ghafla tu aibukie kwene Urais kweli? Labda Urahisi.....!!
 
Unajua ww Azizi huwa unaongea kama mtu mwenye Busara lakini ndani ya busara yako kuna ujinga fulani. Nadhani ni mtu uliyesoma sana dini kiasi kwamba unajichanganya kwenye mada zako. Sasa hii mada unampamba Paskali ili iwe nini kama sio unamchora tu?unasema Paskal atakuwa rais wa nchi hii 2035, sasa hivi ana miaka 50+, hiyo 2035 atakuwa karibu 70, sasa umri huo bado atakuwa na jipya? Acha wendawazimu wako. Halafu hii mada sio ya jukwaa la siasa pls, ww Ni mzoefu wa hili jukwaa do the needful.
Kijana wewe huna nidhamu!
 
Unajua ww Azizi huwa unaongea kama mtu mwenye Busara lakini ndani ya busara yako kuna ujinga fulani. Nadhani ni mtu uliyesoma sana dini kiasi kwamba unajichanganya kwenye mada zako. Sasa hii mada unampamba Paskali ili iwe nini kama sio unamchora tu?unasema Paskal atakuwa rais wa nchi hii 2035, sasa hivi ana miaka 50+, hiyo 2035 atakuwa karibu 70, sasa umri huo bado atakuwa na jipya? Acha wendawazimu wako. Halafu hii mada sio ya jukwaa la siasa pls, ww Ni mzoefu wa hili jukwaa do the needful.
Tunatofautiana sana katika kutafsiri neno ujinga. Rais Trump ana umri gani, hivi unadhani fikra za wamarekani ziko Kwenye kiwango gani!? Una mkumbuka the Late Mwai (R.I.P) wa nchi jirani?! Kwa nini unakosa utashi wa kuwaheshimu wenye umri mkubwa....!?

Pia nimegundua tunatofautina sana kwenye tafsiri ya neno wendawazimu. Nadhani utofauti huu waweza kutokana na malezi yetu tuliko yapata ama makundi yetu tunayojishughulisha nayo ama kutoka mentors wetu ambao wanaweza kuwa wanatofauti ya motives zao, kwamba mmoja ana nia ovu na mwingine ana nia nje!!
Yangu ni hayo.
 
Pasco ni moja ya watu wanaotarajiwa kutoa mchango mkubwa kwenye siasa za Tanzania kwenye miaka ya mbele. Hii ni kutokana na kipaji kukubwa alicho nacho, uwezo mzuri wa kufiki, kujenga na kuchambua hoja mbalimbali.

Hata hivyo kwa siku za karibuni ameanza kuathiriwa na mazingira na anaanza kuvutiwa na ulimwengu wa ushabiki, kulaumu na kulamika mradi siku ziende.

Ushauri kwa Bwana Pasco, Wewe ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana. Usijidharu hata kidogo. Una kipaji kikubwa sana ndani yako ijapokuwa unaonekana umeaanza kujidharau wewe mwenyewe siku hizi na kujiona kama sio mtu wa muhimu na mwenye mchango muhimu .

Upo uwezekano mkubwa sana kwamba wewe ndie utakuwa Rais wa Jamuhuri mwaka 2035. Inawezekana wewe mwenyewe nafsi inaanza kukataa lakini ndio hivyo na dalili zinaendelea kuonesha hivyo.

Hili linaweza kukustua lakini usistuke sana bali jiandae. Usijidharau, jifunze zaidi,hakikisha unakuwa na mchango positive kwa jamii kuanzia sasa kwa kiwango chako cha juu kabisa cha kufikiri. Fanya vitu vinavyoimarisha uwezo wako wa kufikiri na kusaidia watu wengine kujifunza au kupata vitu flani flani na usikubali kuingia kwenye ulimwengu wa ushabiki.

Hii itakusaidia kuwa mtu bora zaidi muda wako utakapofika Ukumbuke kuwa mara njingi kwa kadiri umri unavyoenda,ndivyo uwezo wa kufikiri wa mtu unapungua kutokana na presha ya mazingira, na ku "manage" hali hiyo inabidi kufanya kitu cha ziada kidogo.

Wadau, msimchukulie huyu mtu kwa mzaha, Huyu ambaye leo tuko naye hapa Jf , ndie Rais mtarajiwa 2035 ambaye tutakuwa tukitumia muda wetu mwingi kumlaumu hapa hapa. Ni bora kutumia muda huu ambao yuko kwenye control yetu kumjenga na kumnidhamisha kuwa mtu bora kuliko tusubiri muda ukifika tuanze kumlaumu wakati tulipokuwa na nafasi ya kum “Shape” hatukufanya kitu.

Tusitumie muda mwingi kujadili na kufikiria ambayo yameshatokea maana hayo katika ubora wake au udhaifu wake yashatokea . Tutumie muda mwingi kufikiria itakavyokuwa mbeleni. Viongozi wa kesho au miaka kadhaa ijayo ni watu ambao tuko nao sasa humu. Tujiulize tunafanya nini ili kujihakikishia kuwa muda wao wa kushika madaraka utakapofika watakuwa watu wa maana na na si watu wa hatari?

Tunaweza kufikiri kuna watu wako mahali wanatakiwa kuwajibika kumbe wewe ulioko hapa ndio unapaswa kuwajibika na kuwajibika kwako au kutokuwajibika matokeo yake utayaona miaka si mingi sana ijayo
Unaanzisha thread Kwa ajili ya Mwanaume mwenzako Kwa Forum
 
mi nahisi huyu Azizi Musa ndio Paschal Mayala mwenyewe amekuja kupima upepo

W dogo huwa ni mjinga fulani unayeendekezs tumbo na kujikomba kwa watu wenye maisha. Ukitaka kujua huna akili umeshindwa hata kujua Aziz Mussa Ni verified user na Paskali Ni verified user pia?
 
Pasco ni moja ya watu wanaotarajiwa kutoa mchango mkubwa kwenye siasa za Tanzania kwenye miaka ya mbele. Hii ni kutokana na kipaji kukubwa alicho nacho, uwezo mzuri wa kufiki, kujenga na kuchambua hoja mbalimbali.

Hata hivyo kwa siku za karibuni ameanza kuathiriwa na mazingira na anaanza kuvutiwa na ulimwengu wa ushabiki, kulaumu na kulamika mradi siku ziende.

Ushauri kwa Bwana Pasco, Wewe ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana. Usijidharu hata kidogo. Una kipaji kikubwa sana ndani yako ijapokuwa unaonekana umeaanza kujidharau wewe mwenyewe siku hizi na kujiona kama sio mtu wa muhimu na mwenye mchango muhimu .

Upo uwezekano mkubwa sana kwamba wewe ndie utakuwa Rais wa Jamuhuri mwaka 2035. Inawezekana wewe mwenyewe nafsi inaanza kukataa lakini ndio hivyo na dalili zinaendelea kuonesha hivyo.

Hili linaweza kukustua lakini usistuke sana bali jiandae. Usijidharau, jifunze zaidi,hakikisha unakuwa na mchango positive kwa jamii kuanzia sasa kwa kiwango chako cha juu kabisa cha kufikiri. Fanya vitu vinavyoimarisha uwezo wako wa kufikiri na kusaidia watu wengine kujifunza au kupata vitu flani flani na usikubali kuingia kwenye ulimwengu wa ushabiki.

Hii itakusaidia kuwa mtu bora zaidi muda wako utakapofika Ukumbuke kuwa mara njingi kwa kadiri umri unavyoenda,ndivyo uwezo wa kufikiri wa mtu unapungua kutokana na presha ya mazingira, na ku "manage" hali hiyo inabidi kufanya kitu cha ziada kidogo.

Wadau, msimchukulie huyu mtu kwa mzaha, Huyu ambaye leo tuko naye hapa Jf , ndie Rais mtarajiwa 2035 ambaye tutakuwa tukitumia muda wetu mwingi kumlaumu hapa hapa. Ni bora kutumia muda huu ambao yuko kwenye control yetu kumjenga na kumnidhamisha kuwa mtu bora kuliko tusubiri muda ukifika tuanze kumlaumu wakati tulipokuwa na nafasi ya kum “Shape” hatukufanya kitu.

Tusitumie muda mwingi kujadili na kufikiria ambayo yameshatokea maana hayo katika ubora wake au udhaifu wake yashatokea . Tutumie muda mwingi kufikiria itakavyokuwa mbeleni. Viongozi wa kesho au miaka kadhaa ijayo ni watu ambao tuko nao sasa humu. Tujiulize tunafanya nini ili kujihakikishia kuwa muda wao wa kushika madaraka utakapofika watakuwa watu wa maana na na si watu wa hatari?

Tunaweza kufikiri kuna watu wako mahali wanatakiwa kuwajibika kumbe wewe ulioko hapa ndio unapaswa kuwajibika na kuwajibika kwako au kutokuwajibika matokeo yake utayaona miaka si mingi sana ijayo
Huyu baba bwana sijui kayumba wapi.... Labda wamembinya kende.....
 
Wadau, msimchukulie huyu mtu kwa mzaha, Huyu ambaye leo tuko naye hapa Jf , ndie Rais mtarajiwa 2035 ambaye tutakuwa tukitumia muda wetu mwingi kumlaumu hapa hapa.
Mkuu Azizi Mussa, kwanza asante kunitabiria mema, mimi ni wa 60s, hivyo 2035 nitakuwa 70s, kwa nchi za Kiafrika, hii age sio age rafiki kwa sisi Waafrika, and for agewise hata Mama ningemshauri 2025 itoshe, amlete yule dogo wa kule kumalizia ngwe yake huku.

Kufuatia nia yako njema, nina jambo langu, naomba uungwaji mkono Wana JF, Nimekuja Mbele Yenu, Kwa Unyenyekevu, Kuomba Baraka Zenu & Support Yenu, ya Hali na Mali, Kwenye Jambo Langu!. Nisaidieni, Mungu Nisaidie!
P
 
Mkuu Azizi Mussa, kwanza asante kunitabiria mema, mimi ni wa 60s, hivyo 2035 nitakuwa 70s, kwa nchi za Kiafrika, hii age sio age rafiki kwa sisi Waafrika, and for agewise hata Mama ningemshauri 2025 itoshe, amlete yule dogo wa kule kumalizia ngwe yake huku.

Kufuatia nia yako njema, nina jambo langu, naomba uungwaji mkono Wana JF, Nimekuja Mbele Yenu, Kwa Unyenyekevu, Kuomba Baraka Zenu & Support Yenu, ya Hali na Mali, Kwenye Jambo Langu!. Nisaidieni, Mungu Nisaidie!
P
 
Back
Top Bottom