Jinsi nilivyowahi kutapeliwa, Wewe je?

Jinsi nilivyowahi kutapeliwa, Wewe je?

Matapeli Ni wajanja saaana wanakuja kwa jinsi ulivyo na uwezo wako ...
 
Unasema tunaotapeliwa ni wa kuja mkuu siyo hivyo haya magorofa ya mwanza yametukuta tukiwa tayari watoto wa mjini ila kutapeliwa ni kuzidiwa kete tu umeisha ila kwangu mimi sasa hivi huwezi kunitapeli tena nimejifunza sana na kutokuwaamini binadamu
 
Utapeli upo wa aina nyingi.......watu weng wamesha pitia hayo ila kila m1 ana namna yake na inawezekana umetapeliwa kijinga.
Maisha yapo hivyo weka hapa tupate kuzijua mbinu zao.

1.Ilikuwa siku 1 nipo Tanga.... Eneo maarufu kama tangamano wakawepo wachezesha kamari.
Uoneshe kasha lenye kiberiti hapo anakuwa anavichanganya vyote.... Vipo vi3.... Uoneshe ki1 chenye njiti.
Mtu mzima nikawa nafuatilia kwa macho..... Nikawa nakiona.... Ile tu kiweka ela yangu... Ikawa nimekosea... Nikaliwa.

2 Wakaja wale wenye mkanda..... Nako kabla hujaweka ela unakuwa unapatia lkn ukisha weka tu ela... Inakula kwako....

3 Nikaenda dar... Nikaona mchezo ule wa vyombo vyiingi na mara friji... Jiko... Tv... Laptop...na vikoro koro viiiingi.
Wanakupa mfuko wa kadi... Then unazilipia.... Ili kama ukipata inayoendana na iliyopo kwenue kifaaa unakuwa umepatia. Xo unapewa fedha zenye thaman ya hiyo kitu.....
Mwanaume nikapiga hesabu hapo nina kadi 4... Hapo kuna ya frij.... Jiko... Na vingne... Nikapiga hesab pale ikaja kama 1.2mil....ha nikaona kiwewe niakaambiwa lipia ndo zifunguliwe zile kadi.... Huku nimezishika mimi.
Nilipolipia 40000 tu wakasoma sikuona cha namba wala nn zipkuwa zimeandikwa utajiju... Mwenye wivu.... Na mengine mengi na kwa hapo nimebakishiwa buk 2 tu.......aisee nilichoka yan.

NB hawa watu wanatumia nguvu gani? Kiini macho?
dah nina imani uwezi kurudia tena kosa hilo.................
 
Aisee mimi nina funfumark na ile yenye simba mbili na mnazi,pia nina bastola ya kijerumani,pasi ya kijerumani,njoo PM nikufahamishe zaidi coz nina vitu vingi nilifukua kule Amboni Tanga sitaki kuvitaja hapa sababu naogopa matapeli.
Hahahah...Tapeli vs Tapeli
 
Aisee mimi nina funfumark na ile yenye simba mbili na mnazi,pia nina bastola ya kijerumani,pasi ya kijerumani,njoo PM nikufahamishe zaidi coz nina vitu vingi nilifukua kule Amboni Tanga sitaki kuvitaja hapa sababu naogopa matapeli.
Hahahah...Tapeli vs Tapeli
 
Na humu jamii forum matapeli wapo wengi tu kuna jamaa mmoja wa humu jamii forum kuna jamaa alikuwa anatafuta vitu vya mjeruman vya kale sasa mzee wangu hivyo vitu alikuwa navyo nikawa nimeongea nae mimi nilikuwa tabora hiyo ilikuwa mwaka jana mwez wa kumi na mbili nikimwambia nikiludi mbeya likizo ntakutafuta ili unipe maelekezo kama ni vyenyewe au la tukakubaliana jamaa nikawa namtafuta yupo kimya nikaamua kutafuta mtu mwingine kweli wale watu wakaja nyumbani na mzungu wakaona vitu vile ni kweli vya kijerumani kwa hiyo biashara ikafanyika mzee alipewa kiasi kingi tu cha pesa kama milioni mi tano hivi na kidogo yule jamaa nikampotezea mwanzoni mwa mwezi wa kwanza akanitafuta kuulizia nikamwambia mbona biashara ilisha fanyika na wewe nilikuwa nikikupigia simu haupokei mara unasema nikutafute siku nyingine kwa hiyo mi nikatafuta mtu mwingine jamaa alisikitika sana tukawa tumemaliza hivyo nilikaa kama siku tano hivi jamaa yule yule akanipigia sim kwa namba nyingine akajitambulisha kwa jina la peter kisumo nikamwambia mbona sikufaham akasema tulikutana wilayani nikamjib sikufahamu kaka basi akaanze ehee sisi ni kampun tunao suply vifaa vya kilimo kwa hiyo tunaomba uwe wakala wetu nikamuuliza maswali ikaonekana anajikanyaga kanyaga eti tuma laki tatu afu si tutakuludishia kama milion hivi nikamuuliza wewe unataka kufanya biashara na mimi laki tatu ya nini kwa kifupi ni kamwambia utapeli wa kijinga huo watu walisha acha hayo jamaaa alikata simu na hakupatikana tena nazani na laini alitupa.
Mkuu bado tu unaamini stori za kutajirika na rupia!!!?
 
mi nimefunga njia zote ambazo zınaweza pelekea kutapeliwa. Nikiwa mjini hata nisimamishe nani kuniuliza jambo sisimami, siangalii kamari wala nini.
 
Na humu jamii forum matapeli wapo wengi tu kuna jamaa mmoja wa humu jamii forum kuna jamaa alikuwa anatafuta vitu vya mjeruman vya kale sasa mzee wangu hivyo vitu alikuwa navyo nikawa nimeongea nae mimi nilikuwa tabora hiyo ilikuwa mwaka jana mwez wa kumi na mbili nikimwambia nikiludi mbeya likizo ntakutafuta ili unipe maelekezo kama ni vyenyewe au la tukakubaliana jamaa nikawa namtafuta yupo kimya nikaamua kutafuta mtu mwingine kweli wale watu wakaja nyumbani na mzungu wakaona vitu vile ni kweli vya kijerumani kwa hiyo biashara ikafanyika mzee alipewa kiasi kingi tu cha pesa kama milioni mi tano hivi na kidogo yule jamaa nikampotezea mwanzoni mwa mwezi wa kwanza akanitafuta kuulizia nikamwambia mbona biashara ilisha fanyika na wewe nilikuwa nikikupigia simu haupokei mara unasema nikutafute siku nyingine kwa hiyo mi nikatafuta mtu mwingine jamaa alisikitika sana tukawa tumemaliza hivyo nilikaa kama siku tano hivi jamaa yule yule akanipigia sim kwa namba nyingine akajitambulisha kwa jina la peter kisumo nikamwambia mbona sikufaham akasema tulikutana wilayani nikamjib sikufahamu kaka basi akaanze ehee sisi ni kampun tunao suply vifaa vya kilimo kwa hiyo tunaomba uwe wakala wetu nikamuuliza maswali ikaonekana anajikanyaga kanyaga eti tuma laki tatu afu si tutakuludishia kama milion hivi nikamuuliza wewe unataka kufanya biashara na mimi laki tatu ya nini kwa kifupi ni kamwambia utapeli wa kijinga huo watu walisha acha hayo jamaaa alikata simu na hakupatikana tena nazani na laini alitupa.



Machale kunidesa ...wewe mwenyewe ni Tapeli ..
 
Nakumbuka ilikuwa miaka ya tisini mwanzoni,brother wangu alitapeliwa mnazi mmoja pale. Siku hiyo asubuhi aliaga anaenda shule boarding iringa,akaondoka na baraka zote za wazazi,ghafla saa nne asubuhi asharudi home anahema kichizi,wazee wakamuuliza kulikoni hujaenda shule?akawakusanya wazazi chumbani wakajifungia mi nikawa nachungulia ,bro akatoa kidude flan hivi nikamsikia anasema dhahabu,aisee wazee wakaenda funga mageti yote nje,bro akawaambia alikutana na msukuma stand eti aliokota hiko kidude ila yeye hakitaki kimeandikwa GOLD FIRST CLASS FROM ..nimesahau jina la mgodi akaamua mpa nauli ya ke ya bus to iringa na poketi money yote. Aisee ile ishu iliwachanganya wazee wakajua utajiri huu. Milango imefungwa home hamna wa kutoka mpaka mimi wanani ignore,ikafika usiku wa saa nne wakatoka kwenda kwa mzee jirani yeye mtaalam wa madini hahaha,yule mzee akawasha stovu akayaiunguza yale mawaya dooh yakawa meupe na biashara ikaishia hapo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kama naliona picha Linavochezwa live
 
Back
Top Bottom