[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Namfahamu jamaa mmoja alikuja kunikopa pesa ili akanunue hayo majitu kwa mtu mmoja kule Kahe kumbe alikuwa tapeli. Tena umenikumbusha nimdai pesa yangu. [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji15]Mavitu ya Kijerumani bro,yaani kwa wingi mno hadi yanapata kutu ndani mwangu,changamkia deal na wewe utoke uwe billionaire wa Arusha au vipi?
Mara mbili nilishatapeliwa kuhusu msichana wa kazi. Ukishatuma tu pesa ya nauli simu haipatikani tena.Nlikuwa nna shida ya dada wa kazi, kuna binti yupo morogoro akanambia amepata dada wa kazi xo nitume nauli. Nikamtumia 30,000/= nikawa nikipiga simu hapokei au anampa mtu aseme ipo chaji au anaoga.
Mpaka leo ni maumivu tu, ngoja kwanza nimpigie
Nlikuwa nna shida ya dada wa kazi, kuna binti yupo morogoro akanambia amepata dada wa kazi xo nitume nauli. Nikamtumia 30,000/= nikawa nikipiga simu hapokei au anampa mtu aseme ipo chaji au anaoga.
Mpaka leo ni maumivu tu, ngoja kwanza nimpigie
daah nixheeedaKuna jamaa walikuja na mfuko umetuna kweli kuashiria kuna kitu kizito wakaniambia braza tuna gearbox ya rav4 tunaipeleka gereji ilikuwa mida ya saa tatu usiku nikafungua buti la gari wakapakia tukaondoka kufika nyamongoro mmoja akasema niazime 30000/= tukifika huko nitakupa zote na hii ya tripu nami kiroho safi nikampa kufika kisesa wakashuka wakasema wanachukua tairi kwa jamaa yao nilikaa kusubiri mpaka saa sita hawajafika nikaamua kuondoka nafika kijiwani kufungua niangalie hiyo gearbox aisee nilichoka kulikuwa na mawe kwenye mfuko nikawa nimeingizwa mjini ndani ya jiji stasahau
Ok ukishadai ukapata hizo pesa njoo nikupe mavitu ya kukutajirisha,utaenda kuuza ubalozi wa Kijeremani.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Namfahamu jamaa mmoja alikuja kunikopa pesa ili akanunue hayo majitu kwa mtu mmoja kule Kahe kumbe alikuwa tapeli. Tena umenikumbusha nimdai pesa yangu. [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji15]
Mimi huwezi kunitapeli, period. Kuniibia inawezekana lakini sio kunitapeli
Duh! Si nitakuwa mjinga wa kutupwa? Kama majitu yana pesa kubwa hivyo wewe unakaa nayo ya nini? Wewe hutaki kuwa multi- billionaire? [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Ok ukishadai ukapata hizo pesa njoo nikupe mavitu ya kukutajirisha,utaenda kuuza ubalozi wa Kijeremani.
Memory yako iko juu sana! Yaani ulimkumbuka sah [emoji2]Kuna dogo alinitapeli pale Ubungo pamoja na kuishi kwangu mjini mda wote huu...
Aliniuzia sabuni badala ya simu alafu akakimbia
Nikaenda home na sabuni yangu kama simu nikaiweka juu ya kabati
Siku nasafiri nikaenda mpaka ubungo na sabuni yangu vile vile na yule dogo nikamkuta pale
Nilichomwambia tu ni chukua sabuni yako nipe hela yangu...wakaja maboss zake pale nikawaletea shida wakanipa hela nusu siku narudi tena Dar nikamdaka tena akanimalizia hela yangu.
Yule Dogo anatembea na hiziri kubwa sana mfukoni
Ila hakuna siku nilijiona mjinga kama siku ile...
Nimecheka saana mkuuKuna jamaa walikuja na mfuko umetuna kweli kuashiria kuna kitu kizito wakaniambia braza tuna gearbox ya rav4 tunaipeleka gereji ilikuwa mida ya saa tatu usiku nikafungua buti la gari wakapakia tukaondoka kufika nyamongoro mmoja akasema niazime 30000/= tukifika huko nitakupa zote na hii ya tripu nami kiroho safi nikampa kufika kisesa wakashuka wakasema wanachukua tairi kwa jamaa yao nilikaa kusubiri mpaka saa sita hawajafika nikaamua kuondoka nafika kijiwani kufungua niangalie hiyo gearbox aisee nilichoka kulikuwa na mawe kwenye mfuko nikawa nimeingizwa mjini ndani ya jiji stasahau
Wewe usiwe mjinga ukawa masikini buree,kwani hujui mali zingine zina magano ya vifo na alionavyo hatakiwi kufaidika navyo,ila mtu baki wa mbali kama wewe mizimu inamkubali tena mizimu ya Kijeremani mikali sana ,haya njoo utajirike we usiejijua kama una bahati au vipi?,na kama unabisha mtafute Mkuu Mshana junior akufafanulie ili uweze kutajirika.Duh! Si nitakuwa mjinga wa kutupwa? Kama majitu yana pesa kubwa hivyo wewe unakaa nayo ya nini? Wewe hutaki kuwa multi- billionaire? [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] Sitaki mali za mashetani. Acha utapeli wewe.Wewe usiwe mjinga ukawa masikini buree,kwani hujui mali zingine zina magano ya vifo na alionavyo hatakiwi kufaidika navyo,ila mtu baki wa mbali kama wewe mizimu inamkubali tena mizimu ya Kijeremani mikali sana ,haya njoo utajirike we usiejijua kama una bahati au vipi?,na kama unabisha mtafute Mkuu Mshana junior akufafanulie ili uweze kutajirika.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] acha tu ndg. Amenifanyia mbaya maana mda anataka nitume nauli nlikuwa sina kitubikabidi nikope na vocha nikamtumia.Usipige simu ipo chaji.
Sio za mashetani ni za Kijeremani au hujui maana ya mali za Kijeremani?njoo bhana wewe una nyota ya utajiri kwa hiyo hizi mali zitakutoa kimaisha.[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] Sitaki mali za mashetani. Acha utapeli wewe.
Mkuu nakuomba usiingilie biashara za watu la sivyo kugeuzwa kenge bluu kunakuhusu shwaiiin we.Hapa kwenye huu uzi naskia harufu ya utapenga....
Kama wewe unataka kuweka KAUZIBE basi mimi nitakuziba tigo yako usiende choo halafu tuone nani zaidi.[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] Sitaki mali za mashetani. Acha utapeli wewe.