Toga
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 667
- 894
Na humu jamii forum matapeli wapo wengi tu kuna jamaa mmoja wa humu jamii forum kuna jamaa alikuwa anatafuta vitu vya mjeruman vya kale sasa mzee wangu hivyo vitu alikuwa navyo nikawa nimeongea nae mimi nilikuwa tabora hiyo ilikuwa mwaka jana mwez wa kumi na mbili nikimwambia nikiludi mbeya likizo ntakutafuta ili unipe maelekezo kama ni vyenyewe au la tukakubaliana jamaa nikawa namtafuta yupo kimya nikaamua kutafuta mtu mwingine kweli wale watu wakaja nyumbani na mzungu wakaona vitu vile ni kweli vya kijerumani kwa hiyo biashara ikafanyika mzee alipewa kiasi kingi tu cha pesa kama milioni mi tano hivi na kidogo yule jamaa nikampotezea mwanzoni mwa mwezi wa kwanza akanitafuta kuulizia nikamwambia mbona biashara ilisha fanyika na wewe nilikuwa nikikupigia simu haupokei mara unasema nikutafute siku nyingine kwa hiyo mi nikatafuta mtu mwingine jamaa alisikitika sana tukawa tumemaliza hivyo nilikaa kama siku tano hivi jamaa yule yule akanipigia sim kwa namba nyingine akajitambulisha kwa jina la peter kisumo nikamwambia mbona sikufaham akasema tulikutana wilayani nikamjib sikufahamu kaka basi akaanze ehee sisi ni kampun tunao suply vifaa vya kilimo kwa hiyo tunaomba uwe wakala wetu nikamuuliza maswali ikaonekana anajikanyaga kanyaga eti tuma laki tatu afu si tutakuludishia kama milion hivi nikamuuliza wewe unataka kufanya biashara na mimi laki tatu ya nini kwa kifupi ni kamwambia utapeli wa kijinga huo watu walisha acha hayo jamaaa alikata simu na hakupatikana tena nazani na laini alitupa.