Jinsi nilivyowahi kutapeliwa, Wewe je?

Jinsi nilivyowahi kutapeliwa, Wewe je?

Hakuna mtu anaweza jitapa kua tapeli hawezi mtapeli. Wako vzr sana hawa jamaa
 
ilikuwaje mkuu...mwaga maujanja hapa
Nilimsainisha mkataba..akajua kwamba sitofatilia..nikampa hela halaf alivyomjinga afadhali hata angekuwa anaenda kupiga dili..akaenda kupangishia demu wake mpya room na kumnunulia fenicha,mziki,tv,friji na matakataka mengine...Basi mi nikakomaa nae mpaka analipa deni hela za usumbufu.Anajuta sasa hivi..
 
Pale Manispaa ya Kinondoni ndani wamejaa matapeli usipime.
Niliponea chupuchupu...namshukuru afande mmoja pale Usalama Magomeni aliyepita na kuniona kisha kuniita, la sivyo ningekuwa jela sasa hivi.
Ile siku nikiikumbuka....najiona mjinga sana
 
Sio mimi nilio kuwa navyo vilikuwa vya mzee nae alipewa na babu kulikuwa na pas na machupa flani hivi ambazo ukiweka kwenye jua mida ya saa sita au saba zinaonyesha misijiti na kulikuwa na bilika moja ambalo ukiweka wembe unanasa na ukiweka kalibu na radio lazima izime.
Aisee mimi nina funfumark na ile yenye simba mbili na mnazi,pia nina bastola ya kijerumani,pasi ya kijerumani,njoo PM nikufahamishe zaidi coz nina vitu vingi nilifukua kule Amboni Tanga sitaki kuvitaja hapa sababu naogopa matapeli.
 
Tulitapeliwa na kaka yangu Mbeya,mwaka 1996 katika stairi ambayo sitakuja isahau,alikuja braza mmoja pande la mtu akasema anauza sukali ya malawi kwa bei ndogo sana,eti hana nauli ya kulipia kwenye gari na imeiweka kwa mtu dukani kwake,sababu na sisi tulikuwa wakolofi tukaitana chemba tukasemezana huyu jamaa ni tapeli,sasa ngoja leo tukamdunde asijekanyaga tena dukani kwetu iwe mwanzo na mwisho,basi tukatoka na braza pamoja na hera ya katoni10,mpaka hapo kwenye sukari,tukamlipa jamaa akatutambulisha kwa mwenye duka kama watachukua sukali,tumechukua katon tatu ile tunaendelea kuchukua,mwenye duka akasema bosi wenu kalipia katoni tatu tu,da tulichoka,tulimtafuta jamaa mbeya nzima hatukumpata,kweli kutapeliwa hakuna mjanja.
 
Nlishaeleza kule juu my, akili iliporudi nilianza kujicheka tu yan ndan ya dk20 wameniliza simu na hela kama elfu20
Dooh basi pole win,hata hivyo najua utakuwa na simu mpya na nywele mpya maana kwa jinsi ulivyo mrembo,daaah hata mimi naweza nikakulipa hiyo hasara mamii.
 
Aisee mimi nina funfumark na ile yenye simba mbili na mnazi,pia nina bastola ya kijerumani,pasi ya kijerumani,njoo PM nikufahamishe zaidi coz nina vitu vingi nilifukua kule Amboni Tanga sitaki kuvitaja hapa sababu naogopa matapeli.
 
Pale Manispaa ya Kinondoni ndani wamejaa matapeli usipime.
Niliponea chupuchupu...namshukuru afande mmoja pale Usalama Magomeni aliyepita na kuniona kisha kuniita, la sivyo ningekuwa jela sasa hivi.
Ile siku nikiikumbuka....najiona mjinga sana
Ilikuwaje mkuu
 
Back
Top Bottom