Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,556
- 4,169
- Thread starter
- #241
Duuu kumbe na ww ilikukumba... Ile msg ilitapeli wengi sana
Mimi nilitapeliwa na wanaijeria wale wa mtandaoni. Walinitapeli laki tano mwaka2008.Kuna mna ijeria mmoja mdada aliomba urafiki fb akadai yeye ni mtoto wa mchungaji nk, eti wazazi wake wamefariki na wameacha pesa benki kwa hiyo nimsaidie aweke kwenye akaunti yangu. Urafiki uliendelea,nilikuja kujitambua baada ya kuibiwa, kumbe yalikuwa matapeli sugu, nilijuta kuwafahamu