Jinsi nilivyougua miaka mingi na kunusurika kifo baada ya kurogewa uchawi wa bundi

Tuwe na subra, alishaema simu yake imeharibika, anatumia ya mwanafamilia na wakati mwingine mwenye simu anazingua
 
Tuwe na subra, alishaema simu yake imeharibika, anatumia ya mwanafamilia na wakati mwingine mwenye simu anazingua
Acha kumtetea huyu babu.kuna mada kaanZisha haZina kichwa wala miguu mara aulize alipe Joshua Nasari,mara vijana waende jeshini,mara mama Mhe.Samia alegeze vyuma na Zingine nyingi.Humu tupo kwa ajili ya kujifunza na kukuza imani kwa Mwenyezi Mungu ila anatupia mistari kumi.Tunaandaliwa kwa sadaka.Ila babu stori tamu sana hiZi zote arosto na panic
 
Ila we babu bwana. Ina maana umedanganya jinsia ulikua unatafuta nini sasa?
IMG_20210408_224647.jpg
 
Endelea..
Tulisafiri toka Dar mpaka Mbeya wilaya ya Rungwe katika kijiji kinaitwa Ikuti.

Wakati tunakaribia kufika Ikuti mganga naye alikuwa anasafiri kuelekea wilaya nyingine huko Mbarali .

Tulipofika sehemu moja inaitwa KeiKei (KK) kabla hata hatujafika katika kijiji anachoishi huyo mganga ,ghafla kukavuma upepo mkali sana kama kimbuka .Dada yeye alikuwa amejitanda mara ghafla mtandio wake ukapeperuka mpaka upande wa pili wa barabara.

Baada ya upepo kuisha dada ilibidi avuke barabara kuufata kuokota mtandio wake ,akakuta kuna baba mmoja ndio aliuokota mtandio huo basi waka salimiana yule baba akataka kutupia neno akaanza kumuuliza dada anatokea wapi maana si unajua vijijini hususa vijiji vya kinyakyusa wao hawajui mgeni wala mwenyeji yaani ukienda kule ni "Mgonile ,ndaga" mwanzo mwisho ukishindwa salamu wanajua wewe mgeni.

Hapo dada ikabidi ajielezee kwamba anaenda Ikuti kuna fundi mmoja anaitwa mzee Mwakajanga .

Kwa bahati nzuri kumbe yule mzee aliyeokota mtandio wa dada ndiye aliyekuwa mzee Mwakajanga mwenyewe tuliyekuwa tumeelekezwa kwake .

Basi tukawa na bahati sana kwa siku hiyo maana kama mzee angeenda Mbarali msituni huko kuchuma dawa huwa anakaa wiki nzima kwa mujibu wa maelezo yake.Hapo ingetubidi tumsubiri wiki nzima pale nyumbani kwake.

Sasa tunaongozana na mtaaramu kwenda kijijini kwake Ikuti kwa mguu ni umbali kidogo toka hapo KeiKei .

Endelea...
 
Endelea..
Tulitembea kama kilometa 30 kwa mguu kutoka kituoni mpaka anapoishi mtaaramu.

Tulilala siku moja kesho yake matibabu yalianza,hapo ilitubidi tukae mwezi mzima maana kuna dawa bado fundi hakuwa nazo alioteshwa usiku kwenda kuzichuma hizo dawa huko Mbarali ila sisi tuliwahi kufika tukakuta hizo dawa bado hajaenda kuzichuma .

Itaendelea...
 
Endelea..
Tulitembea kama kilometa 30 kwa mguu kutoka kituoni mpaka anapoishi mtaaramu.

Tulilala siku moja kesho yake matibabu yalianza,hapo ilitubidi tukae mwezi mzima maana kuna dawa bado fundi hakuwa nazo alioteshwa usiku kwenda kuzichuma hizo dawa huko Mbarali ila sisi tuliwahi kufika tukakuta hizo dawa bado hajaenda kuzichuma .

Itaendelea...
Mkuu hata kama simu ya mkeo jaribu kurefusha stori, kama hii umetunyima haki yetu ya msingi kabisa
 
Endelea..
Tulitembea kama kilometa 30 kwa mguu kutoka kituoni mpaka anapoishi mtaaramu.

Tulilala siku moja kesho yake matibabu yalianza,hapo ilitubidi tukae mwezi mzima maana kuna dawa bado fundi hakuwa nazo alioteshwa usiku kwenda kuzichuma hizo dawa huko Mbarali ila sisi tuliwahi kufika tukakuta hizo dawa bado hajaenda kuzichuma .

Itaendelea...
Duh mzee baba umetisha kwa huu ufupi asee. Hahaha 😂😂😂
 
Endelea..
Tulitembea kama kilometa 30 kwa mguu kutoka kituoni mpaka anapoishi mtaaramu.

Tulilala siku moja kesho yake matibabu yalianza,hapo ilitubidi tukae mwezi mzima maana kuna dawa bado fundi hakuwa nazo alioteshwa usiku kwenda kuzichuma hizo dawa huko Mbarali ila sisi tuliwahi kufika tukakuta hizo dawa bado hajaenda kuzichuma .

Itaendelea...
We Mzee Dish Litakua limeyumba
 
Endelea..
Tulitembea kama kilometa 30 kwa mguu kutoka kituoni mpaka anapoishi mtaaramu.

Tulilala siku moja kesho yake matibabu yalianza,hapo ilitubidi tukae mwezi mzima maana kuna dawa bado fundi hakuwa nazo alioteshwa usiku kwenda kuzichuma hizo dawa huko Mbarali ila sisi tuliwahi kufika tukakuta hizo dawa bado hajaenda kuzichuma .

Itaendelea...
Aisee mkuu naomba niendelee kwa niaba yako,najua ntapita mlemle
 
Sema huyu mzee anatuendesha kishenzi yaani sijui ndo anataka kutupeleka telegram
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom