Leonardchama7
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,959
- 3,986
Kwa kukimbia kwako yawezekana kwa 50% ukawa umewatia kwenye sintofahamu au kwa 50% pia wakawa na mpunga wa kutosha huku wakikushangaa kutokomea gizani bila taarifa,
Kitendo cha kukuta wameagiza vinywaji kabla wewe hujafika hiyo ni dalili kuwa mfukoni mzigo upo, pia kitendo cha kuagiza chakula na kutoloka huo pia ni wizi,baada ya kuona huelewe pigo zao wewe ungesepa kimya tu mkuu
Kitendo cha kukuta wameagiza vinywaji kabla wewe hujafika hiyo ni dalili kuwa mfukoni mzigo upo, pia kitendo cha kuagiza chakula na kutoloka huo pia ni wizi,baada ya kuona huelewe pigo zao wewe ungesepa kimya tu mkuu