Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,101
- 2,711
Naitafsiri kidogo Ile posting ya JF ya Jager Master ya Dec, 2011.
Hii makala ya 2001, imeandikwa na kachero Wayne Madsen. Anasema Marekani Wana kambi Cyangugu, Rwanda karibu na mpaka wa Congo.
Wizara ya Ulinzi ya Marekani mara nyingi inaàjiri PMC (private military contractors) ambao zamani walikuwa wanaitwa 'mamluki'. Haya mambo yameandikwa 2001.
Hawa Marais waliopo madarakani sasa hivi Uganda, Rwanda, Ethiopia, Angola, Eritrea na DRC wanaongoza nchi nchi zenye vurugu kubwa za kikabila na kisiasa ambazo zinawezesha kampuni za madini za kimataifa kupeana mali za Afrika.
Hizi kampuni nyingine zinashirikiana na PMC zilizotajwa hapo juu. Kwa mfano, American Mineral Fields Inc,ambayo ilishiriki sana katika kumuweka hayati Laurent- Desire Kabila madarakani. Kampuni hiyo inamilikiwa kwa kiasi kikubwa na washirika wa Bill Clinton.
Pia, lengo moja kubwa la RCD, Warwanda wanaopigana Congo dhidi ya Kasbila ni kuwasaidia Barrick Gold kupata madini.
Sasa hivi,Barrick na makumi ya makampuni ya madini yanachochea mgogoro wa Congo.
Vurugu za sasa, Afrika ya Kati zinasababishwa kwa kiasi kikubwa na tukio la Aprili 6,1994, liliporushwa kombora kwa ndege iliyokuwa imembeba Rais wa Rwanda, Mhutu,Juvenal Habyarimana,na mwenzake, Rais wa Burundi, Cyprien Ntaryamira.
Oh, I am dead tired. Nitaendelea kesho. Inatoa ushahidi mwingi, kuliko unaohitajika kuonyesha Kagame kaitungua ile ndege. Pia unasema hawa watu ndio waliomuua Director wa TISS.. Labda, hakuna haha ya kuendelea(kesho). Yaliyoandikwa yanatosha.
Hii makala ya 2001, imeandikwa na kachero Wayne Madsen. Anasema Marekani Wana kambi Cyangugu, Rwanda karibu na mpaka wa Congo.
Wizara ya Ulinzi ya Marekani mara nyingi inaàjiri PMC (private military contractors) ambao zamani walikuwa wanaitwa 'mamluki'. Haya mambo yameandikwa 2001.
Hawa Marais waliopo madarakani sasa hivi Uganda, Rwanda, Ethiopia, Angola, Eritrea na DRC wanaongoza nchi nchi zenye vurugu kubwa za kikabila na kisiasa ambazo zinawezesha kampuni za madini za kimataifa kupeana mali za Afrika.
Hizi kampuni nyingine zinashirikiana na PMC zilizotajwa hapo juu. Kwa mfano, American Mineral Fields Inc,ambayo ilishiriki sana katika kumuweka hayati Laurent- Desire Kabila madarakani. Kampuni hiyo inamilikiwa kwa kiasi kikubwa na washirika wa Bill Clinton.
Pia, lengo moja kubwa la RCD, Warwanda wanaopigana Congo dhidi ya Kasbila ni kuwasaidia Barrick Gold kupata madini.
Sasa hivi,Barrick na makumi ya makampuni ya madini yanachochea mgogoro wa Congo.
Vurugu za sasa, Afrika ya Kati zinasababishwa kwa kiasi kikubwa na tukio la Aprili 6,1994, liliporushwa kombora kwa ndege iliyokuwa imembeba Rais wa Rwanda, Mhutu,Juvenal Habyarimana,na mwenzake, Rais wa Burundi, Cyprien Ntaryamira.
Oh, I am dead tired. Nitaendelea kesho. Inatoa ushahidi mwingi, kuliko unaohitajika kuonyesha Kagame kaitungua ile ndege. Pia unasema hawa watu ndio waliomuua Director wa TISS.. Labda, hakuna haha ya kuendelea(kesho). Yaliyoandikwa yanatosha.