saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 602
- 1,407
Spika wa Bunge, Job Ndugai anadaiwa huenda kujiuzulu kwake nafasi ya Spika alilazimishwa na hakujizulu kwa matakwa yake kama ilivyoripotiwa.
"Mbali na mawazo hayo, kuliibuka kauli mitandaoni kwamba kiongozi huyo alijiuzulu kwa kulazishwa, jambo ambalo halikuthibitishwa wala kukanushwa"
Source: Gazeti la Mwananchi
Jinsi ‘mikono’ ya Serikali ilivyotishia uhuru Bunge
Alhamisi, Desemba 15, 2022
"Mbali na mawazo hayo, kuliibuka kauli mitandaoni kwamba kiongozi huyo alijiuzulu kwa kulazishwa, jambo ambalo halikuthibitishwa wala kukanushwa"
Source: Gazeti la Mwananchi
Jinsi ‘mikono’ ya Serikali ilivyotishia uhuru Bunge
Alhamisi, Desemba 15, 2022