Kenya 2022 Jinsi laana ya kuunga mkono Udikteta wa Magufuli ilivyomwangusha Raila Odinga

Kenya 2022 General Election
Binadamu tunatakiwa kujifunza na kukumbuka kwamba HAKUNA MAHALI POPOTE KATIKA DUNIA HII AMBAPO SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU

Kilichomkuta Raila Odinga kiwe fundisho kwa Wanadamu wengine waliosalia hapa Duniani , hata kama hawagombei madaraka , haijawahi kutokea binadamu yeyote mwenye hofu ya Mungu kuunga mkono matendo maovu , kwa vile tu yanafanywa na Kiongozi fulani , ni wafuasi wa Shetani pekee wanaoweza kuunga mkono unyama huo.

Raila akijua anayoyafanya Magufuli nchini mwake , ya kuruhusu utekaji na kupotea kwa watu , ikiwemo uporaji ulioitwa PLEA BARGAIN (ambao hela zake hazijulikani zilipo , hii ni kwa mujibu wa CAG ) , Wanasiasa kusingiziwa kesi za uongo za Uhujumu uchumi na utakatishaji hela , huku uporaji wa mifugo ya nchi jirani zikiwemo Rwanda na Kenya UKIASISIWA RASMI NCHINI TANZANIA , kukiwa pia na Ukatili ambao haujawahi kuonekana kabla ya HITLER kuzaliwa wa KUCHOMA MOTO VIFARANGA VYA KUKU KUTOKA KENYA VISIVYO NA UGONJWA WOWOTE, Lakini Raila Odinga akatia pamba masikioni akaamua kumuunga mkono Magufuli bila hata aibu hadharani, huku akiahidi kuiongoza Kenya kama Magufuli alivyoongoza Tanzania , Hatimaye Mungu amekataa Wakenya kuteswa kinyama kama Watanzania .

ASANTE MUNGU NA SHUKRANI SANA WAKENYA KWA KUKATAA UDIKTETA NCHI MWENU.

FUNZO : HATA KAMA WATAWALA WATASIMIKA MTU WAO BADO WANANCHI MKISHIKAMANA MNAWEZA KUMKATAA NA AKASHINDWA.

Mungu Ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya.
Punguani wa design hii ni wa kupuuzwa. Nonsense
 
Binadamu tunatakiwa kujifunza na kukumbuka kwamba HAKUNA MAHALI POPOTE KATIKA DUNIA HII AMBAPO SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU

Kilichomkuta Raila Odinga kiwe fundisho kwa Wanadamu wengine waliosalia hapa Duniani , hata kama hawagombei madaraka , haijawahi kutokea binadamu yeyote mwenye hofu ya Mungu kuunga mkono matendo maovu , kwa vile tu yanafanywa na Kiongozi fulani , ni wafuasi wa Shetani pekee wanaoweza kuunga mkono unyama huo.

Raila akijua anayoyafanya Magufuli nchini mwake , ya kuruhusu utekaji na kupotea kwa watu , ikiwemo uporaji ulioitwa PLEA BARGAIN (ambao hela zake hazijulikani zilipo , hii ni kwa mujibu wa CAG ) , Wanasiasa kusingiziwa kesi za uongo za Uhujumu uchumi na utakatishaji hela , huku uporaji wa mifugo ya nchi jirani zikiwemo Rwanda na Kenya UKIASISIWA RASMI NCHINI TANZANIA , kukiwa pia na Ukatili ambao haujawahi kuonekana kabla ya HITLER kuzaliwa wa KUCHOMA MOTO VIFARANGA VYA KUKU KUTOKA KENYA VISIVYO NA UGONJWA WOWOTE, Lakini Raila Odinga akatia pamba masikioni akaamua kumuunga mkono Magufuli bila hata aibu hadharani, huku akiahidi kuiongoza Kenya kama Magufuli alivyoongoza Tanzania , Hatimaye Mungu amekataa Wakenya kuteswa kinyama kama Watanzania .

ASANTE MUNGU NA SHUKRANI SANA WAKENYA KWA KUKATAA UDIKTETA NCHI MWENU.

FUNZO : HATA KAMA WATAWALA WATASIMIKA MTU WAO BADO WANANCHI MKISHIKAMANA MNAWEZA KUMKATAA NA AKASHINDWA.

Mungu Ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya.
Wote watakaofikiria, tenda, tembea, kufanya, kusifia kama matendo ya yule shetani wa chattle wamelaaniwa wote!!
 
Labda hilo la kumtoa maji kichwani kuna hoja.

Ila kiumri bado anaweza, hata Biden ana 80+ na anaongoza nchi.
Biden naye anaumwaumwa anaweza kutufia tukapata Samia wetu dakika yoyote.

Joe Biden kawa Senator kuanzia 1973 kabla mimi sijazaliwa, miaka karibu hamsini huko iliyopita. Mpaka leo yumo tu. Hawa ndio wale aliowasema Charles Makongoro Nyerere kwamba wamoo tu tangu anasoma shule mpaka leo!

Hawa wazee wangepumzika tu.
 
Jikite kwenye mada
Idiot kwani amezungumzia mapapai hapo!!

Magufuli atakutesa sana wewe na kwa taarifa yako bado anaishi kwenye mioyo ya Watanzania. Nyie endeleeni kujikomba kwa wakubwa halafu mnakuja kutunisha misuli eti wapinzani. Halafu unashindwa kumshangaa Mwenyekiti wenu ambaye anafanya yale yale ya mtu unayemlalamikia nchi jirani.

Pathetic!!
 
RUTO ni kiongozi kutoka chama kilichopo madarakani, Raila Odinga ni mgombea kutoka chama pinzani.

Mashangilio yako ni kama kushangilia CCM ikishinda uchaguzi hapa Tanzania
Kenya hakuna chama tawala inapofika suala la uchaguzi, inategemeana tu na wewe unatoka kabila gani. Baada ya KANU hakuna chama kilichokaa madarakani kwa zaidi ya awamu moja. Kila uchaguzi ukifika viaundwa vyama vingine
 
Kenya hakuna chama tawala inapofika suala la uchaguzi, inategemeana tu na wewe unatoka kabila gani. Baada ya KANU hakuna chama kilichokaa madarakani kwa zaidi ya awamu moja. Kila uchaguzi ukifika viaundwa vyama vingine
Hapana, chama kinachokuwa madarakani ndio huwa chama tawala kama kitashiriki uchaguzi uliofuata. Ikiwa chama hicho hakishiriki uchaguzi basi kutakuwa hakuna chama tawala katika ushindani. Kuhusu uundwaji wa vyama vipya kila ifikapo uchaguzi, nafikiri neno sahihi ni miungano mipya (coalition)
 
Hapana, chama kinachokuwa madarakani ndio huwa chama tawala kama kitashiriki uchaguzi uliofuata. Ikiwa chama hicho hakishiriki uchaguzi basi kutakuwa hakuna chama tawala katika ushindani. Kuhusu uundwaji wa vyama vipya kila ifikapo uchaguzi, nafikiri neno sahihi ni miungano mipya (coalition)
Tume ya uchaguzi inatambua chama kwa hiyo UDA na AZIMIO ni vyama. Kipi chama tawala na cha upinzani hapo?
 
Raila umemtuma Wajackoyah kukuombea radhi Chadema , lakini umechelewa
 
Unaposema Raila alimuunga mkono Magufuli. how? utekaji, plea bargain etc haviwezi kuwa vithibitisho vya kukubaliana na ulichoandika, statement ya Odinga akimuunga mkono Magufuli kuhusu yale matendo yake inahitajika zaidi.

Pia unapofurahia Odinga kushindwa, una uhakika ameshindwa kihalali? mbona kuna malalamiko kila upande kwamba mpaka wajumbe wanne wa IEBC kati ya saba hawakubaliani na hayo matokeo?

Bado naona kuna sarakasi zinaenda kutokea kuhusu huu uchaguzi wa Kenya, hao jamaa wataenda mahakamani kama kweli matokeo ya mwisho hayakuhakikiwa kabla ya kutangazwa, na sitashangaa huko yakitolewa maamuzi mengine yatakayowashangaza watu.
Bado unakiamini ulichoandika ?
 
Back
Top Bottom