Kenyan
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 414
- 313
Raila Odinga
Kiongozi Mkuu wa Upinzani Raila Odinga amesema kuwa anatarajia kukamatwa wakati wowote kuanzia sasa baada ya kuthibitisha kukamatwa kwa aliyekuwa Gavana wa Kakamega Wycliffe Oparanya jioni ya Alhamisi.
Aidha Raila ametangaza siku 5 za kuomboleza waandamanaji walioaga dunia Jumatano ya tarehe 12 Julai, huku akiahidi kuongoza maandamano mengine Jumatano ijayo.