mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,098
- 9,994
Shida ya mabaro baro wa UD even Mimi tunge refer hukumu ya Yesu na principle za kisheria za kisasa Kama Nulum climen sine lige. Huu uchambuzi umebase na mazingira halisi ya nyakati zile very critical!Uchambuzi kuntu wa kisheria, naamini hili swali "je yesu alihukumiwa kwa haki?" Likiwekwa kwenye mtihani wa shule ya sheria pale UDSM hawatachambua hivi.