Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,597
- 25,719
Kesi za uchochezi alizopewa Yesu wakaanza kugawa mpaka Songwe wale jamaa bhana..
Ye kaileta tu hapa ila mwandishi ni John Baptist Ngatunga.Ila daah umeiandaa vizuri mno ungeachana na mambo ya kichawi ukiendelea huku ntakusoma sana....
Mkuu mimi kwangu ni kipya nimemshukuru kwa kupata mwanga kupitia yeye...Ye kaileta tu hapa ila mwandishi ni John Baptist Ngatunga.
Tafuta kwanza ufalme wa mbinguni, na mengine utaongezewa.Nitakufa njaa kaka
ಠ益ಠHapa kuna jambo linanitatiza kidogo. Maana yake hapa inaonyesha ya kuwa Mayahudi walikuwa wanaujua ukweli kuhusu Mungu kumzidi Yesu mwenyewe, mpaka ikafikia Yesu kudai yeye ni Mwana na huku si mwana ?
Lakini kwanini Yesu akosee jambo ambalo Mayahudi walikuwa sahihi ?
Inakuwaje Mtume wa Mola akosee katika ujumbe na mafundisho ?
Je ni kweli Yesu aliwahi kusema yeye ni Mwana wa Mungu ?
Ukweli wa hili ukoje...?
Umeshatubu?nitatubu leo
Big up saaaansNdio tayari
Yule aliemkana Yesu hadi jogoo akawika pia hana kosa.
Yaani nione mtu anapigwa mijeledi anagongelewa misumari kwenye mikono na miguu anavalishwa miba kwenye miti na ananing'inizwa juu ya mti kama nyama buchani na askari halafu askari haohao wananifuata wananiuliza
" unamjua huyu mtu ?"
Ndugu msomaji embu tuacheni unafiki pembeni we ungejibuje?
Kuna Herode aliyetaka kumuua Yesu akiwa kichanga, je ni huyu?Herode (Antipas) alikuwa Mtawala wake wa Kimila. Huyu ndiye aliyemkata Kichwa Yohane Mbatizaji (John the Baptist) kwasababu ya Ahadi aliyoitoa kwa Binti wa Herodia.