SIERA
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,780
- 3,403
Hapa kuna jambo linanitatiza kidogo. Maana yake hapa inaonyesha ya kuwa Mayahudi walikuwa wanaujua ukweli kuhusu Mungu kumzidi Yesu mwenyewe, mpaka ikafikia Yesu kudai yeye ni Mwana na huku si mwana ?
Lakini kwanini Yesu akosee jambo ambalo Mayahudi walikuwa sahihi ?
Inakuwaje Mtume wa Mola akosee katika ujumbe na mafundisho ?
Je ni kweli Yesu aliwahi kusema yeye ni Mwana wa Mungu ?
Ukweli wa hili ukoje...?
Jibu utakalopewa hapa ni huna ROHO MTAKATIFU huwezi kuelewa haya mambo bila ROHO MTAKATIFU utakuja niambia