Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 40,000
Have a good weekend!! listen to Bongoradio on Sunday, we might have something from Dar for you.
M. M.
NB: Picha zote original kwa hisani ya Khamis Athumani.
Hawa wezi wakubwa bado wanakubalika bungeni kweli tuna serikali?
Mwaka huu una raha zake
Mimi nitaridhika tu kama wote watafikishwa mahakamani kujibu mashitaka yao .Kujiuzulu bado am not impressed japokuwa ni one step na wanakuwa more exposed.Lazima sheria ichukue mkondo na CCM wangalikuwa wa maana wangaliwavua Ubunge kwa kuwafukuza uanachama .Lakini they are all washirika .Tuendelee na kuwapiga mawe maana wako katika nyumba ya kioo sasa .
Akaanza,
akajitahidi...
gia kubwa..
Mwanachama mwenzake..
Have a good weekend!! listen to Bongoradio on Sunday, we might have something from Dar for you.
M. M.
NB: Picha zote original kwa hisani ya Khamis Athumani.