Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,593
- 4,645
KIFUTIO ✏️
Hatari sanaHiyo ndio K yenye Vant zake
Kinafuta memory completelyKIFUTIO ✏️
Unakunywaje chai na k Vant?Hio cocktail flani hivi
Ndio utajua hujuiUnakunywaje chai na k Vant?
Hakuna mnyama anayekatazwa kuwindwa labda kuwe na katazo maalumu la muda. Na mara nyingi makatazo hayo huwa ni kwaajiri yakuendelea kuitunza hiyo specie due to ipo hatarini kutoweka.Mbuni anaruhusiwa kuwindwa kwa mujibu wa Sheria?
Makubwa hayo. Wacha nikae kimya (in Diamondi's voice)Ndio utajua hujui
Huwa naona prawns huwa wanaadimika, wavuvi husema wamekatazwa kuvuaHakuna mnyama anayekatazwa kuwindwa labda kuwe na katazo maalumu la muda. Na mara nyingi makatazo hayo huwa ni kwaajiri yakuendelea kuitunza hiyo specie due to ipo hatarini kutoweka.
Mleta mada (kwa maelezo yake) yaonekana waliwinda kienyeji bila kulipia kibari cha uwindaji aina flani ya mnyama (wanyama) kutoka ofisi za mamlaka ya wanyama pori.
Wamekuandikia kitaalam drink respomsivelly!Chupa za gambe zingeandikwa drink at your own risk
Inaeleweka kwa wataalam tu na sio kila mnywaji ni mtaalamWamekuandikia kitaalam drink respomsivelly!
Kumbe ni pombe ya wataalam!!!Wamekuandikia kitaalam drink respomsivelly!
Kama ni mdau wa k vant jibu utakuwa naloKwani uki dilute ndio inaacha kulewesha?
Hahaaaa kwani umeelewaje? Wao wametumia lugha ya kibishara sasa mtu anakunywa kwa kutaka kujionyesha ni bingwa matokeo yake ndo hayo. Mbona inaeleweka tu kirahisi! Responsible drinking means more than just limiting yourself to a certain number of drinks. It also means not getting drunk and not letting alcohol control your life or your relationships.Inaeleweka kwa wataalam tu na sio kila mnywaji ni mtaalam
Responsible drinking means more than just limiting yourself to a certain number of drinks. It also means not getting drunk and not letting alcohol control your life or your relationships.2Kumbe ni pombe ya wataalam!!!
A. K. A KifutioMtambo wa kukata kumbukumbu
Ina maana k vant inafuta memory ?konyagi inafuta? Maana inanitokea sana nikinywa sana asubuhi sikumbuki kitu ila sikuwaza hukoKinafuta memory completely
That's why Kinondoni K Vant huitwa kifutio.🖍Ina maana k vant inafuta memory ?konyagi inafuta? Maana inanitokea sana nikinywa sana asubuhi sikumbuki kitu ila sikuwaza huko