YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,907
ANAOGOPA KUPIGA ZERO FORM FOUR SIO MCHEZOAfanye huo mtihan wa form four anaogopa nn, kama alihonga huko akadhan UD atafanya janja janja aende hukoko alikopata shahada yake
Ataibuka na division zero aabishe hiyo degree ya kununua na kufanyiwa research afanye mtihani wa form four kama kweli kichwani zimo
Aende kujisajili vituo vya private afanye tuone