Rcrusso Jr
Senior Member
- Jul 26, 2020
- 173
- 403
sijawahi kuamini usahihishaji wa mitihani ya form four,,labda huenda huko mbeleni nitakuja kuamini... ila kama mwaka nilobahatika kumaliza mimi matokeo yalitoka mara mbili..( ikumbukwe walisema wamesahihisha upya, je walosahihisha mwanzo walifanyaje??? na matokeo yalinifanya niwe tu disappointed)