Jinsi damu ilivyomwagika Kenya

Jinsi damu ilivyomwagika Kenya

Wewe ni kiazi kweli!

Hao uliowataja wanaua halafu wanasema kuwa wanapigana kwaajili ya mnyaazi mungu?
Wakiua wanakuwa wameshikilia kitabu cha imani gani?

Acha kujitoa akili wewe!

Unajua hako ka mchezo uliko fundishwa na babu kamekuharibu akili! LRA wanapigana ili wa itawale Uganda na waweke amri 10 za bibilia. Hujui lolote labda ka mchezo ka kushikishwa tofali! Unakashifu uislam ili upate nini? Ndio bibilia inakufundisha hivyo?
 
Unajua hako ka mchezo uliko fundishwa na babu kamekuharibu akili! LRA wanapigana ili wa itawale Uganda na waweke amri 10 za bibilia. Hujui lolote labda ka mchezo ka kushikishwa tofali! Unakashifu uislam ili upate nini? Ndio bibilia inakufundisha hivyo?

Anaweza tu kuja mwendawazimu akaiba halafu akasema kuwa wewe umemtuma,atakuwa amesema kweli?
Tatizo lako akili yako umeiweka likizo,hao wanafanya hayo kwa mujibu wa andiko gani au ni walewale al-shaabab wanataka kuwapaka watu wa imani nyingine matope kwa sababu dini yao inawaunga mkono kwa wayafanyayo??
 
haya bana ndg yangu, lkn amini ipo siku utakakuja kuamini kuwa ALLAH ni Mungu wako, lkn itakuwa too late..

hebu tafuta quran usome mwenyewe between the lines, tafuta quran ya tafsiri soma vizuri inaelweka jamani..hebu hakikisha mwenyewe kama kweli hayo ni kweli? usisikie ya kuambiwa ndugu yangu...hebu tafuta ukweli mwenyewe kwa macho yako...dini yetu haifundishi kuua raia, in fact ni ktk madhambi makubwa kabs kuua mtu asiye na hatia..
huo ndio ukweli japo unaweza usiamini labda na hasira ulizonazo but that is the truth...anyway

I wish all the muslims had an insight that you have... ALLAH azidi kukubariki mkuu.
 
Anaweza tu kuja mwendawazimu akaiba halafu akasema kuwa wewe umemtuma,atakuwa amesema kweli?
Tatizo lako akili yako umeiweka likizo,hao wanafanya hayo kwa mujibu wa andiko gani au ni walewale al-shaabab wanataka kuwapaka watu wa imani nyingine matope kwa sababu dini yao inawaunga mkono kwa wayafanyayo??

We chapati
Joseph kony ni muislam? Gaidi ni gaidi tuh awe amebeba bibilia au msahafu. Tatizo lako ww ni mjinga na udini umekupumbaza.
 
huna cha kunifundisha katika dini ila nadhani mnaelewa na mtaelewa tu kwamba nafsi zote zina thamani sawa na bila kisasi hamtajifunza.akikupiga ngumi ya sikio nawe mpige ngumi ya jicho akiikuliza unajisikiaje nawe muulize unaionaje?

DINI ipi ? kama Uislam sni kweli kwa kuwa umekuwa brainwashed umebaki mweupe hata ukifundishwa huwezi elewa,maana mmeambiwa mnayemwabudu kama mungu sio ni SHETANI huyo lakini wapi hamuelewi, Kama majeshi yamepelekwa na serikali ya Kenya, kwanini msiende kulipa kisasi kkwa wahusika, hata kama wahusika ni wakenya wote, kwanini useme waislam watoke ili uue wasio waislam, kwanini kama unalipa kisasa kwa wakenya usiseme wasio wakenya watoke ? Mazezeta ninyi mnaifanya dunia isiwe mahali salama pa kuishi kwa kumsujudia SHETANI mkidhani ni Mungu.Shame on you all...
 
Hizi porojo zako kamtafute wa kumpa

Nakuambia kwamba huyo sio Mungu wangu,Mungu wangu wangu hawezi kwenda Jehanam wewe,akafanye nini?
Mungu wangu ni mwenye upendo na ni mtakatifu na kamwe hawezi kuikaribia jehanam hata kidogo


Bukhari :: Book 6 :: Volume 60 :: Hadith 371

Narrated Anas:

The Prophet said, "The people will be thrown into the (Hell) Fire and it will say: "Are there any more (to come)?' (50.30) till Allah puts His Foot over it and it will say, 'Qati! Qati! (Enough Enough!)'


Unalalama tu kuwa dini yenu haifundishi kuuwa bila kusema hiyo mistari hapo ilikuwa anaambiwa nani na kwanini,kama huyo ndio mungu anatofauti gani na shetani?

Umeielewa vibaya hapo mwisho!! mbona ni simple english
till Allah puts his foot OVER IT and it(FIRE) will say enough!enough!
WALA HAKUSEMA PUT HIMSELF IN IT, NA HAPA NA SAWA NA KUZIMA MOTO KWA KUUKANYAGA, ITS SIMPLE.
 
We chapati
Joseph kony ni muislam? Gaidi ni gaidi tuh awe amebeba bibilia au msahafu. Tatizo lako ww ni mjinga na udini umekupumbaza.

Yaani hata hapa tu umeshindwa kuiona mantiki ya swali langu,yaani hujui hata nimekuuliza nini!
Kiazi ni kiazi tu!
 
Umeielewa vibaya hapo mwisho!! mbona ni simple english
till Allah puts his foot OVER IT and it(FIRE) will say enough!enough!
WALA HAKUSEMA PUT HIMSELF IN IT, NA HAPA NA SAWA NA KUZIMA MOTO KWA KUUKANYAGA, ITS SIMPLE.

Hatakaa aelewe! Ameathiriwa ubongo na kale ka mchezo.
 
Umeielewa vibaya hapo mwisho!! mbona ni simple english
till Allah puts his foot OVER IT and it(FIRE) will say enough!enough!
WALA HAKUSEMA PUT HIMSELF IN IT, NA HAPA NA SAWA NA KUZIMA MOTO KWA KUUKANYAGA, ITS SIMPLE.

Angalia na huyu
Ukizima moto kwa kuukanyaga unakuwa haupo eneo ambalo moto unawaka?

Swali la msingi:
Mungu ni mtakatifu na hana mahusiano na dhambi hata kidogo
Sasa huyo mungu wenu huko anakwenda jehanam kufanya nini?
 
Umeielewa vibaya hapo mwisho!! mbona ni simple english
till Allah puts his foot OVER IT and it(FIRE) will say enough!enough!
WALA HAKUSEMA PUT HIMSELF IN IT, NA HAPA NA SAWA NA KUZIMA MOTO KWA KUUKANYAGA, ITS SIMPLE.

Una maana kwamba Allah atakuwa anazima moto ili wafuasi wake wasiungue mkuu. mkiambiwa ni shetani huyo hamuelewi...
 
Una maana kwamba Allah atakuwa anazima moto ili wafuasi wake wasiungue mkuu. mkiambiwa ni shetani huyo hamuelewi...

Mkuu akiiona hiyo avatar yako atatoka nduki!!!!!!!!!!!!!:becky::becky:
 
Kwa kitendo hiki mlichofanya cha kuwauwa raia wasiokuwa na hatia hakika wausika hamtasalimika hata kidogo
 
wewe mbulula kweli... Mtu na elimu yake anaongea utumbo hivi?

Msomi hasaaa, kasoma hadi kamaliza Juzuu ama huyo. angeendelea kidogo na usomi wa Kiislam angeshajilipua hapa hapa JF nasi tungekuw atunaomboleza. Ni MAzombie kweli kweli hawa jamaa
 
Angalia na huyu
Ukizima moto kwa kuukanyaga unakuwa haupo eneo ambalo moto unawaka?

Swali la msingi:
Mungu ni mtakatifu na hana mahusiano na dhambi hata kidogo
Sasa huyo mungu wenu huko anakwenda jehanam kufanya nini?

Ukizima moto kwa kuukanyaga unakua haupo eneo la moto unawaka? Wewe utakua unaleta utani!

sasa unaukanyaga kwa mguu halafu unasema upo nje ya eneo. Itakua huo mguu wa bandia
 
Una maana kwamba Allah atakuwa anazima moto ili wafuasi wake wasiungue mkuu. mkiambiwa ni shetani huyo hamuelewi...
Point ilikua ni hapa SET FOOT OVER IT, na nikatoa mfano wa kuzima moto kwa kuukanyaga lakini sikusema Allah ataukanyaga ile auzime moto.Sasa kwe lengo gani? Ukifuatilia hiyo quote ya blue inamalizia hivi.

"......' Both of you (HELL AND PARADISE) will be full.' Hell will

not be filled up until Allah puts His foot over it. Then Hell will say, 'Enough, enough, enough,' at which point it will be filled up, ALL OF ITS PARTS INTEGRATED TOGETHER"

Umeona hapo lengo si kuuzima bali ni kuufanya usihitaji ziada.
 
mwisho nakuomba na nakusihi sana usimtukane ALLAH, kwani ALLAH ni Mungu wetu, ni Mungu wenu na Mungu wa kila kitu. ALLAH ni Mungu mwema, msamehevu na mkarimu sana. Hapendi uonevu, ninakuomba tena na tena usimtukane ALLAH kwa upuuzi wa watu wachache. tupo waislamu wengi wazuri, tunawapenda watu wengine na tunaishi nao vizr kwenye jamii.
nafikiri umenielewa kaka riwa..

Samahani kwa kukukwaza ndugu yangu kamusi, ninataabika tu pale mtu anapojaribu kujustify ukatili uliopitiliza kwa kivuli cha dini. Samahani ndugu.
 
Last edited by a moderator:
Pole nyingi ziwafikie jirani zetu Kenya. Kuhusu hili la waislamu sidhani kama wote wapo hivi. Ni vema tukawaita magaidi itatosha, wapo waislamu wengi wenye mapenzi mema.

kweli ndugu sio waislam wote tupo hvo wengine hatuungi mkono poleni ndugu zetu wakenya
 
Pole nyingi ziwafikie jirani zetu Kenya. Kuhusu hili la waislamu sidhani kama wote wapo hivi. Ni vema tukawaita magaidi itatosha, wapo waislamu wengi wenye mapenzi mema.

kweli ndugu sio waislam wote tupo hvo wengine hatuungi mkono poleni ndugu zetu wakenya
 
Back
Top Bottom