ngoshombasa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 435
- 235
Hiyo ndio jihad bwana... ndo maana waliruhusu waislam watoke. Mashekhe kibao akiwemo ponda ndo mahubiri yao ya kila siku. Kuna watu hawajui dini yao apa wamo tu sababu walizaliwa uko. hawa wanachofanya nikutekeleza dini inavotaka japo wengi hujidai kubishi na kuwaita eti wahuni. This is a naked truth!! hiyo ndo tafsiri ya kupigania haki za waislam!