kichekesho
Member
- Jul 25, 2013
- 14
- 0
Haihitaji genius kuelewa kwamba uislamu ni Dini iliyoegemea zaidi kwenye uovu(ushetani) kuliko wema(UMUNGU)
Ni moja kati ya matukio ya kinyama yaliyowahi kutokea east africa mungu awanusuru ndugu zetu wakenya kiukweli.
Sasa awa jamaa kwa nini hawashtuki kwamba mungu atakayeweka mguu wake jehanam,si Mungu wa kweli bali shetani au kwa jina lingine ibilisi.
....kwahiyo km zipo sawa ndo muuwe watu?...au mumeambiwa kuuwa raia wasio na hatia ndo usawa utakuja?jibu utalipata tu we endelea kusikilizia.....nafsi zote zina'thamani sawa,mtaelewa tu.
Kipi kinachokufanya kuikashifu dini hii? Kwa sababu ya Alshabaab, Al-qaeda au wanaharakati wengine? Wote hatupendi mauaji ya watu wasio na hatia duniani na M/Mungu amekataza kabisa kuuwa nafsi isiyo na hatia. Lakini kwanini unakimbilia kuuhusisha uislamu na hizo harakati za makundi mbalimbali. Ikiwa kama Alshabaab na Alqaeda ni nembo na uwakilishi wa Uislamu basi Marekani, Israel na washirika wao wa Ulaya ni nembo na uwakilishi wa Ukristo kisha tupime kati ya wakristo na waislamu ni nani wanayoua watu wengi duniani. Wamarekani na waisrael wanaua mamilioni ya watu wasio na hatia kila siku Mashariki ya kati na maeneo mbalimbali duniani na kwa maana hii Wakristo ndiyo wauaji wakubwa na ukristo ni dini ya kuuwa watu hovyo