Jinsi damu ilivyomwagika Kenya

Jinsi damu ilivyomwagika Kenya

Hili ni tukio ambalo Tanzania ilibidi tuonyeshe ujirani wetu TV zetu naona wamenuna hawaonyeshi juu la tukio hilo
acha uchonganishi kwani ni lazima kwa TV zetu kufanya hivyo? Tukio la Nungu(Zanzibar) hatukuliona live itakuwa tukio hili?
Nalog off
 
suala sio kwenda mbinguni ,suala ni kubalance maumivu tu wao wanauliwa somalia

WALIOPIGANA SOMALIA HUFANYA SHOPPING PALE, KWA NINI WASIENDE KUVAMIA KAMBI YA JESHI ? MOTIVE BEHIND, NI MABIKIRA 72

ANYWAY YAWEZEKANA:
WAFUASI WAAMINIFU WA SHETANI WAKIONESHA DINI YA AMANI KWA VITENDO.
HII NI DINI YA AMANI...

''Maana sahihi ya UISLAMU NI AMANI,kwa kulitizama tu jina la dini hii basi imtosheleze mtu kufaham kwamba Uislam siu chengine chochote isipokua ni AMAN SALAMA NA UPENDO lakini angalia na vigezo vifuatavyo
1-Waislam wanapokutana salamu yao ni kutakiana AMAN(AMANI IWE JUU YENU
2-Kwa kutafuta AMANI kiongozi wa dini hii daima aliwafanya marafiki Maadui zake mf pale alipoenda kumkagua mmoja wa watu ambao waliokua wakiongoza kwa maudhi juu yake alipojua ni gonjwa baada kuuliza kwa nini siku hizi sifanyiwi maaudhi akajibiwa yule muhusika ni mgojnwa ndipo alipofunga safari kweda muona
3 Alikua akiwasamehe maadui zake hata pale anapokua na uwezo wa kulipiza rejea (UFUNGUZI WA MAKKA)
4 Daima anapotuma Jeshi ni lazima kumuweka kitako kionngozi wa msafara na kumuusia asiuwe wanawake ,watoto ,wasio jiweza wala kufanya uharibifu wowote nje ya mapambano
5 Aliingia katika mikataba ya Amani na maadui zake mf MKATABA WA HUDYBIA
6 DINI YA KIISLAMU INAHESHIMU UHURU WA KUABUDU rejea sura ya 2 aya ya256 (HAkuna Mtu kulazimishwa (kuingia ) kaitka dini''
 
Polisi tanzania tafadhalini sana muwe makini katika ulinzi,msije mkasema TUMEJIPANGA wakati tukio baya la kudhuru wananchi limeshafanyika!!Poleni Kenya

serikali ya ccm waache uchuro eti rwakatare gaidi, huu ndio ugaidi waache michezo ya kitoto ya matumizi mabaya ya neno gaidi. MUNGU WAPE NGUVU NA UMOJA WAKENYA KATIKA KIPINDI KIGUMU HIKI.
 
Poleni kenya

Hii ni fundisho kwani hata damu za wasomali na ubakaji wa jeshi lenu somalia ni mkubwa
mlikua mnajingamba kwa kuuua hawo jamaaa na kujisifu kuwa mmewasafisha ss yapo wapi
vijana wasio zidi kumi wamewatka mavi wapi oporation mliofakuiga mbinu za USA

Ss mnaomba msaada israeli kwa kupamba na watu tisa

Poleni sanaaaaa
 
bila kisasi binadamu hawezi kujifunza madhara ya ubaya au dhuruma,nyie mna dini yenu nasi tuna dini yetu

Hivi kuna dini ambayo inakubali kisasi?
Hivi kuna dini inayotoa hukumu kwa wengine?
Dini ninayoiamini mimi hainitaki kuwa na kisasi...tena nimeaswa nisihukumu,nisije kuhukumiwa....
Mungu awape msamaha wote waliokufa kwny tukio hilo. Tena awape faraja wote walioathirika na tukio hilo.
 
Hili ni tukio ambalo Tanzania ilibidi tuonyeshe ujirani wetu TV zetu naona wamenuna hawaonyeshi juu la tukio hilo

Acha unafki na uzandiki wewe. ITV, Star Tv ni za Syria au Zimbabwe!??
 
WALIOPIGANA SOMALIA HUFANYA SHOPPING PALE, KWA NINI WASIENDE KUVAMIA KAMBI YA JESHI ? MOTIVE BEHIND, NI MABIKIRA 72

ANYWAY YAWEZEKANA:
WAFUASI WAAMINIFU WA SHETANI WAKIONESHA DINI YA AMANI KWA VITENDO.
HII NI DINI YA AMANI...

''Maana sahihi ya UISLAMU NI AMANI,kwa kulitizama tu jina la dini hii basi imtosheleze mtu kufaham kwamba Uislam siu chengine chochote isipokua ni AMAN SALAMA NA UPENDO lakini angalia na vigezo vifuatavyo
1-Waislam wanapokutana salamu yao ni kutakiana AMAN(AMANI IWE JUU YENU
2-Kwa kutafuta AMANI kiongozi wa dini hii daima aliwafanya marafiki Maadui zake mf pale alipoenda kumkagua mmoja wa watu ambao waliokua wakiongoza kwa maudhi juu yake alipojua ni gonjwa baada kuuliza kwa nini siku hizi sifanyiwi maaudhi akajibiwa yule muhusika ni mgojnwa ndipo alipofunga safari kweda muona
3 Alikua akiwasamehe maadui zake hata pale anapokua na uwezo wa kulipiza rejea (UFUNGUZI WA MAKKA)
4 Daima anapotuma Jeshi ni lazima kumuweka kitako kionngozi wa msafara na kumuusia asiuwe wanawake ,watoto ,wasio jiweza wala kufanya uharibifu wowote nje ya mapambano
5 Aliingia katika mikataba ya Amani na maadui zake mf MKATABA WA HUDYBIA
6 DINI YA KIISLAMU INAHESHIMU UHURU WA KUABUDU rejea sura ya 2 aya ya256 (HAkuna Mtu kulazimishwa (kuingia ) kaitka dini''

Mkuu huyo unaempa lecture hizo hatambui wala hajitambui na wala haujui uislamu ni nini.. ndo walewale wanaokuwa "brainwashed" mtaani na kujiita wafia dini ilhali ni wahuni tu hata ukimwambia akupe aya au hadith hata moja ya Mtume (S.A.W) anayoifahamu atakaa kimya, ila muulize wimbo wa nani kamwaga pombe yangu, ataimba wote na kuucheza hadi mwisho.
 
Acha unafki na uzandiki wewe. ITV, Star Tv ni za Syria au Zimbabwe!??

Nadhani alitaka waache kuonyesha matangazo yao ya kawadia wamuonyeshe live coverage ya hili tukio muda wote masaa 24 kama vile Big Brother.
 
Nadhani alitaka waache kuonyesha matangazo yao ya kawadia wamuonyeshe live coverage ya hili tukio muda wote masaa 24 kama vile Big Brother.

KBC na Citizen wenyewe hawajafanya hivyo. Kuna watu huwa wanaandika as if vidole vinajitegemea pasipo utashi wa ubongo. Au ndo wanakuwa wametumwa!?
 
KBC na Citizen wenyewe hawajafanya hivyo. Kuna watu huwa wanaandika as if vidole vinajitegemea pasipo utashi wa ubongo. Au ndo wanakuwa wametumwa!?

Wametumwa hawa.
 
wakenya walishapewa onyo mapema 2001 wakapuuzia cjui nn hatma ya watu wanaokufa damu zao hazna hata chembe hatia Tuwaombee wenzetu wakenya Mungu akawaponye kwani hali ni mbaya sana
 
Waislamu wabadilishe fikra zao juu ya visasi na zile fikra za kuipigania dini Yao!!

Pole nyingi ziwafikie jirani zetu Kenya. Kuhusu hili la waislamu sidhani kama wote wapo hivi. Ni vema tukawaita magaidi itatosha, wapo waislamu wengi wenye mapenzi mema.
 
Kama waliouwawa ni matajiri pekee its okey....especially makafir kama Marekani, Wayahudi pamoja na wazungu wote wahindi na wachina..they really deserve this masacles and they need more than this....Viva Mujahideen viva Al shabaab....Allah on your side no one will defeat you BROTHERS
 
Back
Top Bottom