rich1
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,077
- 3,419
Tupe ndugu.Siku ya kutapeliwa hata uwe makini vipi watakudaka
Mimi nilivyotapeliwa hata kusimulia huwa sitaki
Tupe ndugu.Siku ya kutapeliwa hata uwe makini vipi watakudaka
Mimi nilivyotapeliwa hata kusimulia huwa sitaki
Labda huko ughaibuniWewe acha madharau..kuna wahudumu wana kipato kuliko hata watu wa maofisini, mishahara ya laki nne, tano, sita, saba hadi nane huko
Tz hapahapaLabda huko ughaibuni
Tapeli akikuamulia atakutapeli tu. Nilishawahi kukutana na kisha cha hivi miaka kama mitano iliyopita nikiwa kwenye mtandao fulani. Yeye alifika dukani akadai ana shida na bosi apewe namba, akajidai kupiga akadai simu haina salio anaomba ampigie kwenye simu ya huyo mfanyakazi ndipo alipoangalia boss ameseviwa vipi akatoa namba ya boss akaweka yake na kuondoka.Una 'save' jina boss? Hapo lazima ulie.
Alitakiwa asave kwa jina lake huyo mmiliki.
Ukisoma vizuri maelezo the bosi fake alitoa namba mpya na Jina litakalotoka atume kwa hiyo nambaNimeipenda hii technique.. ila uyo counter ajui jina la bosi wake? Pesa yote iyo anaotuma kichwa kichwa tu bila kuhakiki jina
Upo nyuma Sana aisee, watu mpaka Sasa hivi Wana line kibao wamesajili kwa vitambulisho vya watuMtuhumiwa mbona napatikana tuu ,kama katumiwa kupitia miamala ,waende kwenye ofisi za kampuni ya mtandao husika...wanampata.
wewe hujaelewa soma kwa utulivu , kuna kitu alikiandika bila ufafanuz , so wale slow learners inawachukua muda kuelewaAcha kubadili story,umedai yule tapeli alifanya kubadili namba kwenye jina liloseviwa "Boss" na kwakuwa Counter asubuhi alipopokea simu na hatimaye kutakiwa kutuma pesa ya mauzo yeye alikwenda kwa wakala na kumpatia pesa na kumtajia namba za "Boss" na wakala akatuma.
Ndio tunauliza inamaana wakala hakuuliza jina litakalotokea? Sasa unasema Counter alitaja jina,je jina lilotokea ni la Boss halisi au Boss tapeli na kama lilitokea jina la Boss tapeli ilikuwaje Counter hakushtuka kwamba jina lilokuja sio la Boss wake?
Brother ukiwa muongo unahitaji kuwa na kumbukumbu.
lengo la jamaa ni kuelimishana na sio kujionesha mjanjaStory yako halisi ni hiyo:
ndege JOHN said:
Alienda mtu kunywa pombe ikumbukwe sio mteja wa pale hafahamiki. Akiendelea kunywa akaanza kumuomba counter amuazime simu ili mpigie mtu amletee hela aendelee kunywa mdada wa counter katika utetezi wake anadai Mara ya kwanza alimnyima kwa madai simu haina salio jamaa akaendelea kusihi apewe tu amtumie meseji.
Haifahamiki Kama ni uchawi ulitumika au sayansi ya kumnyenga mtu kwa kumpa offer za bia ila dakika ya mwisho dada alimpatia simu na jamaa bila kupoteza muda akabadilisha namba ya simu iliyoandika the boss yeye akaeidit ikawa namba yake...za boss Tena zilikuwa Kama tatu akazibadilisha zote akamrudishia simu.wakaendelea kumwagilia moyo..
Asubuhi kufika meseji inaingia ikimtaka amwambie mauzo ya Jana kapata shingapi dada akastaajabu kwanini Leo iwe hivi wakati boss hanaga kawaida ya kuulizia mahesabu huwa anakuja mwenyewe kuyafuatilia Basi kwa Kuwa boss NI boss akaambiwa ipo kiasi fulani laki tano..jamaa(boss) akamuamrisha aende kwa wakali atume fasta pesa ili anunue vinywaji kwa Bei rahisi kwani Kuna mtu anataka afunge bar yake pesa ikatumwa maelezo baadae yanakuja kuwa mengi Ila ndo tayari kesi ya utapeli imeshatokea.
Wale wenye biashara waambieni wanaowauzia wawe makini kuzoeana na mtu haraka maisha ya Sasa sio ya kumsaidia mtu simu yako usimuazime kabisa usije kupata shida ya matukio ya kihalifu.
bar inauza laki 5 kwa siku hlf unashangaa mfanyakaz kulipwa laki 2 na nusu kwa mwez , are you serious ?Hamna muhudumu wa bar anayelipwa mshahara wa 250,000.
mswahili akimaliza ka degree kake ka ualimu bas anahis kila kitu anakijua , kitu kipya kwake ni kamba , hili ttzo tunalo waswahili ndio maana nchi haipig hatuaHii ni kamba..
tayari kwenye msg boss amekupa namba ya kuwekea pesa na jina ...kwa kutokuwa na mawasiliano mazuri na tajiri dada akashidwa kuhoji kwann namba nyingine na sio yako kama unavyo juwa za hawa mafamba maswali mawili ashakutukania mpaka nyanya ya nyanya yako.....Hapa kuna jambo...
Ukiwenda kwa wakala uwezi tuma ela lazima atakwambia jina ni nani...
Inategemea na mauzo ya barMdada anamwambia boss amkate 200000 kila mwezi ambakishie 50000 Sasa sijajua itaishiaje hi kesi maana kesho wote na wahudumu wengine wanaitwa polisi wakatoe maelezo...ndo hapo nikapata nafasi pia ya kujua mshahara wa counter kumbe NI laki mbili na nusu
..me Nilikuwa najuaga labda laki moja tu
Namba nyingine tofaut na namba ya boss aliyoeditAcha kubadili story,umedai yule tapeli alifanya kubadili namba kwenye jina liloseviwa "Boss" na kwakuwa Counter asubuhi alipopokea simu na hatimaye kutakiwa kutuma pesa ya mauzo yeye alikwenda kwa wakala na kumpatia pesa na kumtajia namba za "Boss" na wakala akatuma.
Ndio tunauliza inamaana wakala hakuuliza jina litakalotokea? Sasa unasema Counter alitaja jina,je jina lilotokea ni la Boss halisi au Boss tapeli na kama lilitokea jina la Boss tapeli ilikuwaje Counter hakushtuka kwamba jina lilokuja sio la Boss wake?
Brother ukiwa muongo unahitaji kuwa na kumbukumbu.
Tusimulie tu Mr vibeseniSiku ya kutapeliwa hata uwe makini vipi watakudaka
Mimi nilivyotapeliwa hata kusimulia huwa sitaki
Wazee mbona mna vichwa vigumu? Soma tena maelezo vizuriwakati anatuma halikutokea jina la anayemtumia?