Alikosea kutompigia simu bosi wake ili kuhakiki kile alichoambiwa.Hujaelewa Nini mkuu yaani jamaa kamwambia kbs tuma pesa kwenye namba hii JINA litakuja fulani..
Mimi baada ya kupigiwa simu na kampuni ya BRANCH na wakampigia baba angu na mama,walikuwa wananidai pesa yao toka siku hyo nilibadilisha utaratibu wa kusave majina ya wazazi wangu naandika majina yao na siweki kabisa mama au babaUna 'save' jina boss? Hapo lazima ulie.
Alitakiwa asave kwa jina lake huyo mmiliki.
Angempigia kwa namba gani wakati namba zishabadilishwa na Kuwa za jambazi na kila alilopiga simu inakata anaambiwa atume meseji yupo kwenye keleleAlikosea kutompigia simu bosi wake ili kuhakiki kile alichoambiwa.
Hivi mnakunywa hata pombe kweli? Au pombe mnakunywa kwenye vibar mshenzi vichochoroni hukaHapa umetutia Kamba. Aina ya huo utapeli inaweza ikawa kweli upo, ila kusema Counter wa Bar au Muhudumu wa Bar analipwa laki mbili na nusu(250,000/=) huo ni uongo.
Kumbuka vinywaji kama bia, soda, some spirit vina faida ndogo sana. Sasa Boss anatoa wapi jeuri ya kulipa 250k kwa mwezi. Na hapo bado kodi ya jengi au frame hajalipa, umeme kwakuwa mafriji yanakula umeme unamuhusu na vitu vinginevingine.
Simulia tujifunzeSiku ya kutapeliwa hata uwe makini vipi watakudaka
Mimi nilivyotapeliwa hata kusimulia huwa sitaki
Ila inataka rehema kuepuka kutapeliwa maishani. Unaweza ruka mikuki mingi sana afu ukaishia kutapeliwa hata uzeeni. Kila mtu ana weak spot ambayo tapeli akiitumia anafanikisha wizi wakeAlienda mtu kunywa pombe ikumbukwe sio mteja wa pale hafahamiki. Akiendelea kunywa akaanza kumuomba counter amuazime simu ili mpigie mtu amletee hela aendelee kunywa mdada wa counter katika utetezi wake anadai Mara ya kwanza alimnyima kwa madai simu haina salio jamaa akaendelea kusihi apewe tu amtumie meseji.
Haifahamiki Kama ni uchawi ulitumika au sayansi ya kumnyenga mtu kwa kumpa offer za bia ila dakika ya mwisho dada alimpatia simu na jamaa bila kupoteza muda akabadilisha namba ya simu iliyoandika the boss yeye akaeidit ikawa namba yake za boss. Tena zilikuwa kama tatu akazibadilisha zote akamrudishia simu. Wakaendelea kumwagilia moyo.
Asubuhi kufika meseji inaingia ikimtaka amwambie mauzo ya jana kapata shingapi dada akastaajabu kwanini leo iwe hivi wakati bosi hanaga kawaida ya kuulizia mahesabu huwa anakuja mwenyewe kuyafuatilia. Basi kwa kuwa bosi ni bosi akaambiwa ipo kiasi fulani laki tano.
Jamaa (boss) akamuamrisha aende kwa wakali atume fasta pesa kwenye namba fulani nyingine 07***** jina litakuja fulani fulani ili anunue vinywaji kwa bei rahisi kwani Kuna mtu anataka afunge bar yake pesa ikatumwa maelezo baadae yanakuja kuwa mengi Ila ndo tayari kesi ya utapeli imeshatokea.
Wale wenye biashara waambieni wanaowauzia wawe makini kuzoeana na mtu haraka maisha ya Sasa sio ya kumsaidia mtu simu yako usimuazime kabisa usije kupata shida ya matukio ya kihalifu.
Tapeli hua ana taarifa za kina. Hata jina la boss atakuwa analijua. Anakuja kukutapeli akiwa kesha fanya homework yakeUna 'save' jina boss? Hapo lazima ulie.
Alitakiwa asave kwa jina lake huyo mmiliki.
Hata jina lake anawwza kuwa analijua, matapeli kabla ya kupiga tukio huwa wanahakikisha kuwa na taarifa muhimu za sehemu walio target.Una 'save' jina boss? Hapo lazima ulie.
Alitakiwa asave kwa jina lake huyo mmiliki.
Ukiona hivyo hyo ni bar kubwa, ila mara nyingi huwa si zaidi ya 150,000.Mdada anamwambia boss amkate 200000 kila mwezi ambakishie 50000 Sasa sijajua itaishiaje hi kesi maana kesho wote na wahudumu wengine wanaitwa polisi wakatoe maelezo...ndo hapo nikapata nafasi pia ya kujua mshahara wa counter kumbe NI laki mbili na nusu
..me Nilikuwa najuaga labda laki moja tu
Sasa mhudumu Kama analipwa elfu 70 atakwambia ukweli ili umdharau? Lazima akutajie mshahara mkubwa ili ajenge heshimaHamna muhudumu wa bar anayelipwa mshahara wa 250,000.
Kutapeliwa ni uzembe full stop.kwasababu lazima iambatane aidha na tamaa,papara au kukosa utulivu na umakini.Siku ya kutapeliwa hata uwe makini vipi watakudaka
Mimi nilivyotapeliwa hata kusimulia huwa sitaki
Ukiwa na tamaa,papara nasio mvumilivu lazima utapatikana.ila ukiwa tofauti na hayo hakuna atakayekutapeli.Utapeli ukisukwa vizuri si mimi wala wewe wala yeyote anachomoka
Mara nyingi wanawake wana tamaa na papara.Niwepesi kuamini bila kudadisi.Hawa matapeli wanajiamini sana! Halafu huwezi kuamini, wahanga wakuu ni wasichana/wanawake! Yaani ni wepesi kweli kuamini.
Matapeli wanatapeli wazembe.Ukiwa ni mtu mwenye misingi tako hakuna tapeli anayeweza kukupata.Unadhan huyo tapeli alikua hana namba za huyo Boss..? Mtu akitaka kukupiga tukio anafanya research ya kutosha... Hata ungesevu kwa jina la ubatizo, yeye angeingiza namba za huyo boss kujua ameseviwa vipi... All in all ukiona mtu katapeliwa sio kwamba hana akili bali kazidiwa mbinu...
Wewe acha madharau..kuna wahudumu wana kipato kuliko hata watu wa maofisini, mishahara ya laki nne, tano, sita, saba hadi nane hukoHamna muhudumu wa bar anayelipwa mshahara wa 250,000.
Kama unaweza kumtumia mtu ela kwa meseji tu iko siku huo uzembe utakugharimu.Kuna namba za watu wa karibu sana ambao nikiwagusa tu kwa msg huwa wanatuma hela bila kupiga simu, watu hao huwa sisevu namba zao. Mfano kaka, mama, dada, madogo nk.
Na wao wakigusa tu kwangu kwa msg, nitafanya jitihada hadi nitume.
Kuna wakati unafanya dili na mtu unayemuamini pasee uyo uyo anatumika kukumalizaKutapeliwa ni uzembe full stop.kwasababu lazima iambatane aidha na tamaa,papara au kukosa utulivu na umakini.
😅😂 kumbe unategemea "misingi tako" basi sawa tunashukuru kwa code tumekuelewa mjanjaMatapeli wanatapeli wazembe.Ukiwa ni mtu mwenye misingi tako hakuna tapeli anayeweza kukupata.