Chifu Sanze
JF-Expert Member
- Jul 20, 2021
- 3,190
- 6,509
Story mwandishi alii-edit haikuwa kama hivyo ila baada ya wadau kuitoa kasoro ndio ikawa hivyo ulivyosema wewe.Hii story umeisoma yote mstari kwa mstari ?
Story mwandishi alii-edit haikuwa kama hivyo ila baada ya wadau kuitoa kasoro ndio ikawa hivyo ulivyosema wewe.Hii story umeisoma yote mstari kwa mstari ?
Uzi wa mwanzo kabla hajaedit ni huu:Hii story umeisoma yote mstari kwa mstari ?
Acha kujibu bila uhakika, story ya mwanzo haikuwa ilivyo sasa kuna sehemu amerekebisha.Ila na wewe ni mgumu kuelewa nawe unakaribia kutapeliwa, soma tena mada inajieleza vizuri tu.
Wewe story huijui mwanzo wake wengi nimewajibi ilivyokuwa.Nilichoelewa ni kwamba yule tapeli alisave namba yake kwenye simu ya counter kwa jina "BOSS" sawasawa na vile counter alivyosave number halisi ya boss wake, kwahiyo tapeli alipowasiliana nae kwa kutumia namba yake(tapeli) kwa counter jina linatokea "BOSS"
Nafikiri wewe ulitakiwa kujua halisi kabla ya mwandishi haja edit.Soma vizuri
Wengi mmeikuta story lakini hamjui mwanzo mwandishi alivyoiwasilisha.Ukiambiwa na boss tuma hela na Jina la hiyo namba ni fulani utaanzia wapi kuhoji??? Au huna boss mzee
Wewe ndio sio mwelewa hujui mwanzo ilivyokuwa.
Inategemea na dada mwenyewe alivyo, uhusiano wake na boss na kujiongeza kwake. Wiki 1 tuuPole dada wa watu atakatwa mpaka basi
Wewe story huijui mwanzo wake wengi nimewajibi ilivyokuwa.
Kwenye story ya mwanzo hicho kipande halikuwepo.Jamaa (boss) akamuamrisha aende kwa wakali atume fasta pesa kwenye namba fulani nyingine 07***** jina litakuja fulani fulani ili anunue vinywaji
Nilimaanisha misingi yako.Acha kuangaika na vitu vidogo vidogo vya typing error.kumbe unategemea "misingi tako" basi sawa tunashukuru kwa code tumekuelewa mjanja
Utapeli ni sanaa. Kama sanaa nyingine,sanaa ya utapeli, ikichezwa vizuri na wasanii wabobezi, huchomoki na hata ukichomoka utachomoka na majeraha.Alienda mtu kunywa pombe ikumbukwe sio mteja wa pale hafahamiki. Akiendelea kunywa akaanza kumuomba counter amuazime simu ili mpigie mtu amletee hela aendelee kunywa mdada wa counter katika utetezi wake anadai Mara ya kwanza alimnyima kwa madai simu haina salio jamaa akaendelea kusihi apewe tu amtumie meseji.
Haifahamiki Kama ni uchawi ulitumika au sayansi ya kumnyenga mtu kwa kumpa offer za bia ila dakika ya mwisho dada alimpatia simu na jamaa bila kupoteza muda akabadilisha namba ya simu iliyoandika the boss yeye akaeidit ikawa namba yake za boss. Tena zilikuwa kama tatu akazibadilisha zote akamrudishia simu. Wakaendelea kumwagilia moyo.
Asubuhi kufika meseji inaingia ikimtaka amwambie mauzo ya jana kapata shingapi dada akastaajabu kwanini leo iwe hivi wakati bosi hanaga kawaida ya kuulizia mahesabu huwa anakuja mwenyewe kuyafuatilia. Basi kwa kuwa bosi ni bosi akaambiwa ipo kiasi fulani laki tano.
Jamaa (boss) akamuamrisha aende kwa wakali atume fasta pesa kwenye namba fulani nyingine 07***** jina litakuja fulani fulani ili anunue vinywaji kwa bei rahisi kwani Kuna mtu anataka afunge bar yake pesa ikatumwa maelezo baadae yanakuja kuwa mengi Ila ndo tayari kesi ya utapeli imeshatokea.
Wale wenye biashara waambieni wanaowauzia wawe makini kuzoeana na mtu haraka maisha ya Sasa sio ya kumsaidia mtu simu yako usimuazime kabisa usije kupata shida ya matukio ya kihalifu.
Not possibleAlienda mtu kunywa pombe ikumbukwe sio mteja wa pale hafahamiki. Akiendelea kunywa akaanza kumuomba counter amuazime simu ili mpigie mtu amletee hela aendelee kunywa mdada wa counter katika utetezi wake anadai Mara ya kwanza alimnyima kwa madai simu haina salio jamaa akaendelea kusihi apewe tu amtumie meseji.
Haifahamiki Kama ni uchawi ulitumika au sayansi ya kumnyenga mtu kwa kumpa offer za bia ila dakika ya mwisho dada alimpatia simu na jamaa bila kupoteza muda akabadilisha namba ya simu iliyoandika the boss yeye akaeidit ikawa namba yake za boss. Tena zilikuwa kama tatu akazibadilisha zote akamrudishia simu. Wakaendelea kumwagilia moyo.
Asubuhi kufika meseji inaingia ikimtaka amwambie mauzo ya jana kapata shingapi dada akastaajabu kwanini leo iwe hivi wakati bosi hanaga kawaida ya kuulizia mahesabu huwa anakuja mwenyewe kuyafuatilia. Basi kwa kuwa bosi ni bosi akaambiwa ipo kiasi fulani laki tano.
Jamaa (boss) akamuamrisha aende kwa wakali atume fasta pesa kwenye namba fulani nyingine 07***** jina litakuja fulani fulani ili anunue vinywaji kwa bei rahisi kwani Kuna mtu anataka afunge bar yake pesa ikatumwa maelezo baadae yanakuja kuwa mengi Ila ndo tayari kesi ya utapeli imeshatokea.
Wale wenye biashara waambieni wanaowauzia wawe makini kuzoeana na mtu haraka maisha ya Sasa sio ya kumsaidia mtu simu yako usimuazime kabisa usije kupata shida ya matukio ya kihalifu.
Kwani huyo counter ali save namba ya boss wake kwa jina la Boss?Alienda mtu kunywa pombe ikumbukwe sio mteja wa pale hafahamiki. Akiendelea kunywa akaanza kumuomba counter amuazime simu ili mpigie mtu amletee hela aendelee kunywa mdada wa counter katika utetezi wake anadai Mara ya kwanza alimnyima kwa madai simu haina salio jamaa akaendelea kusihi apewe tu amtumie meseji.
Haifahamiki Kama ni uchawi ulitumika au sayansi ya kumnyenga mtu kwa kumpa offer za bia ila dakika ya mwisho dada alimpatia simu na jamaa bila kupoteza muda akabadilisha namba ya simu iliyoandika the boss yeye akaeidit ikawa namba yake za boss. Tena zilikuwa kama tatu akazibadilisha zote akamrudishia simu. Wakaendelea kumwagilia moyo.
Asubuhi kufika meseji inaingia ikimtaka amwambie mauzo ya jana kapata shingapi dada akastaajabu kwanini leo iwe hivi wakati bosi hanaga kawaida ya kuulizia mahesabu huwa anakuja mwenyewe kuyafuatilia. Basi kwa kuwa bosi ni bosi akaambiwa ipo kiasi fulani laki tano.
Jamaa (boss) akamuamrisha aende kwa wakali atume fasta pesa kwenye namba fulani nyingine 07***** jina litakuja fulani fulani ili anunue vinywaji kwa bei rahisi kwani Kuna mtu anataka afunge bar yake pesa ikatumwa maelezo baadae yanakuja kuwa mengi Ila ndo tayari kesi ya utapeli imeshatokea.
Wale wenye biashara waambieni wanaowauzia wawe makini kuzoeana na mtu haraka maisha ya Sasa sio ya kumsaidia mtu simu yako usimuazime kabisa usije kupata shida ya matukio ya kihalifu.