Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mkaka flani msafi sana
HB flan
Mwenye pozi zake za kutosha.
Kifupi mwanamke wa kupangua gia zake labda awe ameokoka ki kweli kweli
So kutokana na descriptions hapo juu niliyemwona ni yeye insider au sio yeye??
 
Kuna sehemu nimekuona Insider, prove me wrong kama sio wewe kwanza kimo chako cha kati sio mrefu wala mfupi upo kawaida, ni mweupe kiasi chake. Na ulikuwa unatumia simu ya Samsung model sikujua ila kama sio Note something basi ni S series ambazo zina Pen
Kaka sijawahi tumia Samsung katika history ya maisha yangu. Kama unataka kuniona uwe unatega NBAA mostly nakwenda pale kujisomea.
 
Kaka sijawahi tumia Samsung katika history ya maisha yangu. Kama unataka kuniona uwe unatega NBAA mostly nakwenda pale kujisomea.
Basi nilikuwa addicted sana na story yako mpaka nikakuimagine in real life, tunasubiri mwendelezo wa story muda wore jicho lipo humu.
 
Acheni shobo, mtakuja kutapeliwa na kubakwa kisa hizi story za uongo humu JF

Acheni shobo, mtakuja kutapeliwa na kubakwa kisa hizi story za uongo humu JF.
Njoo nikushobokee wewe basi uridhike, unadhani kila mtu ni mjinga mjinga kama uliowazoea? Hii story naisoma for fun na the same kwenye kucoment so unadhani waliosema walimuona Irene ni kweli au wanachangamsha Uzi tuu??? Same to me just kuchangamsha uzi
 
Back
Top Bottom