Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Hahahaa hii Audi ni unique sana hapa Dar nafikiri ipo moja tu. Nyingi ni old model hapa mjini
Hapo jamaa anaendesha gati ya gharama bila bugudha sasa sisi wa Serekale endesha uone kama hujafuatws utuambie umeitoa wapi na kwa fesha zipi!!!
Ndiyo ujue serikali haiitaji mfanyakazi atajirike kwa namna yeyote ile
 
acha hyo kaz tafut nyingne ili utajirike bosi
Hapo jamaa anaendesha gati ya gharama bila bugudha sasa sisi wa Serekale endesha uone kama hujafuatws utuambie umeitoa wapi na kwa fesha zipi!!!
Ndiyo ujue serikali haiitaji mfanyakazi atajirike kwa namna yeyote ileha hyo
 
Hahahaa hii Audi ni unique sana hapa Dar nafikiri ipo moja tu. Nyingi ni old model hapa mjini
Kuna sehemu nimekuona Insider, prove me wrong kama sio wewe kwanza kimo chako cha kati sio mrefu wala mfupi upo kawaida, ni mweupe kiasi chake. Na ulikuwa unatumia simu ya Samsung model sikujua ila kama sio Note something basi ni S series ambazo zina Pen
 
Kuna sehemu nimekuona Insider, prove me wrong kama sio wewe kwanza kimo chako cha kati sio mrefu wala mfupi upo kawaida, ni mweupe kiasi chake. Na ulikuwa unatumia simu ya Samsung model sikujua ila kama sio Note something basi ni S series ambazo zina Pen
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuna sehemu nimekuona Insider, prove me wrong kama sio wewe kwanza kimo chako cha kati sio mrefu wala mfupi upo kawaida, ni mweupe kiasi chake. Na ulikuwa unatumia simu ya Samsung model sikujua ila kama sio Note something basi ni S series ambazo zina Pen
ungemuuliza huyo dada cacutee sjui mana anaweza akawa mke wake wa tatu mana kajpeleka mweyewe
 
Back
Top Bottom