Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 71,379
- 95,224
Hata jukwaani kuingia idadi zinahesabika...
Sidhani kama atakuja weka tena muendelezo kwa siku za karibuni...
Mwendelezo part two ni lini?Mnaendelaje ndugu zangu? Nawasalimia.
Tupo ndugu yote umepotea masomo vp chuo?Mnaendelaje ndugu zangu? Nawasalimia.
not yet,Vipi codes zilifunguka?
Chuo kigumu sana, but thanks God nimemaliza mitihani salama.Tupo ndugu yote umepotea masomo vp chuo?
Hongera mno MrIjumaa nitakuja na updates za mwendelezo wa PART II. But nina expect mtoto wa 3 if god wish 🙏
Mungu ni mwema 🙏utapasua.Chuo kigumu sana, but thanks God nimemaliza mitihani salama.
siku nilienda karambezi cafe , basi nikaanza kumkumbuka insider , nikaanza kuimagine sijui alikaa hapa au pale na mtt Irene,.. all in all hongera champIjumaa nitakuja na updates za mwendelezo wa PART II. But nina expect mtoto wa 3 if god wish
😂😂😂🙌🏿🙌🏿 kama ulikaa upande wa mwishoni kwenye vioo hukukosea chiefsiku nilienda karambezi cafe , basi nikaanza kumkumbuka insider , nikaanza kuimagine sijui alikaa hapa au pale na mtt Irene,.. all in all hongera champ
Hongera sana mkuu. Na iryn? Au mama JIjumaa nitakuja na updates za mwendelezo wa PART II. But nina expect mtoto wa 3 if god wish
Kila la kheri mkuu uliebarikiwaIjumaa nitakuja na updates za mwendelezo wa PART II. But nina expect mtoto wa 3 if god wish 🙏
Ohh good newsIjumaa nitakuja na updates za mwendelezo wa PART II. But nina expect mtoto wa 3 if god wish