ebu Antonnia tufanye ww ndio iryn afu mm ni INSIDER MAN njoo unifanyie massage saa hii uone kama ntaikataa hiyo ofaIryn anataka kukupanda kichwani na kukukontrol!
Thubutuuuu Mimi niwe Iryn nitambe!ebu Antonnia tufanye ww ndio iryn afu mm ni INSIDER MAN njoo unifanyie massage saa hii uone kama ntaikataa hiyo ofa
ww njoo unifanyie tuu ata kama ukiwa unanifinya sawa tuu ili mradi tuwe wa2 chumbani🤣😅🤣😅🤣Thubutuuuu Mimi niwe Iryn nitambe!
Mkuu mapenzi na kazi mi hapana aseee lazima tu itafika sehemu tutavuruga Hivi vitu kuvichanganya hapana kabisa!
Hio massage naijua sasa mweh Sijuiiii🤣🤣🤣🙌🙌!
Wawili tu unimeze mzima mzima weeeeh🙌🏃🏻♀️🏃🏻♀️😁!ww njoo unifanyie tuu ata kama ukiwa unanifinya sawa tuu ili mradi tuwe wa2 chumbani🤣😅🤣😅🤣
Hapa NIDHAMU ni muflisi kwako ndugu INSIDER MAN. Ungekuwa umepita JKT usingejipangia siku na saa ya kikao na BOSSYLADY Irene."Na muda huu nilisema nimpigie simu Iryn ili nimuulize tunaonana muda gani kwaajili ya mazungumzo. So baada ya kumpigia simu Iryn alisema kwa leo haitawezekana maana yuko busy hivyo tufanye kesho, na mimi nilimwambia kwa kesho itakuwa ngumu nina ratiba zangu muhim hivyo tuonane jumatano."
Na mimi nilimwambia kwa kesho itakua ngumu nina ratiba zangu muhimu hivyo tuonane jumatano......safi sana hapa Iryn naona kabisa mwili ulipata ganzi kwa muda, ukitoa uanamke wake hata kama ni boss hapaswi kunyenyekewa kupitiliza hili aelewe, TIT FOR TAT
mm n mchungaj bhnaWawili tu unimeze mzima mzima weeeeh🙌🏃🏻♀️🏃🏻♀️😁!
Wachungaji walio wengi sikuhizi fekerooo wanaigiza tu wachache sana wa rohoniiii!!!mm n mchungaj bhna
Kambi ya Fisi unafeli wapi mzee? Soma mstari kwa mstari basi!Ng'ombe wangapi walitolewa kama mahari?
Bwashee hujui jokes za kuchangamsha uzi zilivyo?Kambi ya Fisi unafeli wapi mzee? Soma mstari kwa mstari basi!
Hukumbuki enzi INSIDER MAN alimfuata mjomba kwenda kutoa mahari kwa kina mama J na mjomba akabonyeza ignore button?
Kumbe wamefikia kwenye mambo ya kutaka kupinduana tena nyieee !!Bwashee hujui jokes za kuchangamsha uzi zilivyo?
Sijafell popote pale, ila kiukweli kijana wetu hajamuoa rasmi mama J japo kazaa naye, so Prisca anaweza kuwa mke halali wa kijana wetu endapo tu atajua kucheza na akili yake, maana kijana wetu yupo weak sana kimaamuzi.
Kule church ambako mama J huwa anafundisha Sunday school akitokea mwinjilisti wa kupindua mahusiano ya mama J kijana wetu aki mama J anaweza kuchukuliwa na mwinjilisti wa church kwa sababu hakuna uthibitisho wa ndoa ya kijana wetu na mama J.
Unapendekeza tuanze na yupi hapo?Huku Mama J hapa Iryn kule Priska kuna Mary kuna mcharuko wa tanga !
Maggy mchepuko wa Pama Dada mwarabu ngoja tuone!!
Ulitaka nicomment nn mkuuwewe huwa unacomment "nukta* tu kila Mara ukiwa na maana gani
Ni king'ang'anizi na anaweza akaleta balaa Mda wowote tu .....wanawake wajawazito Wanakuwaga hawajatuliaUnafanya makosa makubwa ya kumkubalia Prisca kwenda nae huko unako enda kuonana na Iryin aisee!!
Big no kiongozi..., unless uwe unaifanya/umeipata hiyo kazi kimazabe na hauna weledi wowote kazini ila kwa mfanyakazi anayejitambua na anaelewa umuhimu wake yani anajua kabisa uwepo wake unaongeza kitu katika taasisi/kampuni husika kuna wakati lazima awe na misimamo na hii hukuongezea thamani pia. Waswahili tuna usemi wetu, "Ni heri lawama kuliko fedheha."Hapa NIDHAMU ni muflisi kwako ndugu INSIDER MAN. Ungekuwa umepita JKT usingejipangia siku na saa ya kikao na BOSSYLADY Irene.
Hata kama kuna quarrel na bosi zisizohusiana na kazi, hiyo haikupi nafasi ya kuwa unprofessional na kum toss boss huku na kule. Ni sawa kuuchochea moto unaowaka badala ya kuuacha ujifie wenyewe.