Jini la kuongea Kiingereza lapanda na kukataa kutoka

Jini la kuongea Kiingereza lapanda na kukataa kutoka

G

guest-1787677561

Guest
Hili jini sijui kwanini lisipande kwa viongozi wetu wanapokuwa kwenye mikutano ya kimataifa ili kuwasaidia kuongea na kusoma mikataba ya kimataifa inayoandikwa kwa Kiingereza hivyo wanasaini bila kujua na kuiingiza nchi yetu kwenye mikataba ya hovyo.😀😀😀

Jini hili la mzee wa Buza linaitwa RAS Simba.😀😀😀😀

 
Back
Top Bottom