Taasisi ya EF Education First imetoa orodha ya viwango vya ufasaha wa lugha ya Kiingereza ( EF English Proficiency Index) kwa mwaka 2025, ambapo Tanzania imeorodheshwa katika nafasi ya 11 barani Afrika.
Orodha hiyo inaonyesha Afrika Kusini ikiongoza, ikifuatiwa na Zimbabwe katika nafasi ya...
Nimemwona Hammo rapa akiongea kiingereza kibovu kiasi kwamba analitia aibu taifa.
Majirani zetu Wakenya wakiona hii ndio watatucheka kabisa.
Wizara inayohusika na sanaa impige marufuku Hamorapa kuongea kiingereza.
Ni ushauri tu nimetoa.
Hii nchi ina vituko sana.
Kuna wageni kutoka marekani wametembelea Tanzania kujifunza mambo flani flani,boss wangu akaniteua mimi na wenzangu wawili tuwaongoze kwenye shughuli zao zilizowaleta.
Cha ajabu kuna office tumeenda leo,office nzima hakuna anayeweza kuongea kiingereza kizuri,hadi...
Hili jini sijui kwanini lisipande kwa viongozi wetu wanapokuwa kwenye mikutano ya kimataifa ili kuwasaidia kuongea na kusoma mikataba ya kimataifa inayoandikwa kwa Kiingereza hivyo wanasaini bila kujua na kuiingiza nchi yetu kwenye mikataba ya hovyo.😀😀😀
Jini hili la mzee wa Buza linaitwa RAS...
Nchi zote tatu za Afrika Mashariki, Uganda, Kenya na Tanzania zilitawaliwa na mkoloni mmoja kwa wakati mmoja. Waganda na wakenya wao lugha wanayotumia na kuimiliki ni Kiingereza na Tanzania ni waongeaji wazuri wa kiswahili tu, yaani waswahili.
Lugha ina tabia ya kuendana na utamaduni wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.