Jina zuri la mtoto wa kike

Jina zuri la mtoto wa kike

Akinyi
Atieno
Anyango
Akoth
Adhiambo

Chagua moja Kati ya hayo aiseeee....
 
Ila kuna majina wasichana wengi wanakuwa vicheche...
ingawa jina zuri but dah....kuwa makini
 
Bilqis alikuwa malkia wa Ethiopia
yule alieenda kwa mfalme Suleiman na dhahabu
Suleiman akamfanyia ujanja wa kuweka dhahabu barabarani
akaishiwa kuolewa na Suleiman

Asante sana kwa ufafanuzi huu mkuu
 
Back
Top Bottom