Jina ni neno au maneno anayopewa mtu au kitu au hali Fulani
Nataka kujikita kwenye jina tunalopeana watu.
Kwanini Waafrika tunapenda sana kuwapa watoto wetu majina ya Ulaya, Asia n.k., lakini sisi tuna maneno katika lugha za Kiafrika.
Kwanini usumbuke uingie kwenye mtandao na penginepo.
Tanzania tuna lugha nyingi maana tuna maneno ambayo tungetumia kuwapa watoto wetu.
Hatuwi wa maana ati kwa kuitwa Zebedayo au Hasani au Rebecca au Salha nk
Hatuwi wacha Mungu wazuri kwa majina hayo.
Mtu akiishi au akafuata ya huko nje tunamkandia, vipi kuhusu jina mwanao.
Natamami tubadilike, kama wewe ni Mgogo au Mfipa au Mmakua nk tumia neno ambalo unalijua maana take na unalifurahia.
Tuache ushamba wa kupenda tusivyovijua
Nataka kujikita kwenye jina tunalopeana watu.
Kwanini Waafrika tunapenda sana kuwapa watoto wetu majina ya Ulaya, Asia n.k., lakini sisi tuna maneno katika lugha za Kiafrika.
Kwanini usumbuke uingie kwenye mtandao na penginepo.
Tanzania tuna lugha nyingi maana tuna maneno ambayo tungetumia kuwapa watoto wetu.
Hatuwi wa maana ati kwa kuitwa Zebedayo au Hasani au Rebecca au Salha nk
Hatuwi wacha Mungu wazuri kwa majina hayo.
Mtu akiishi au akafuata ya huko nje tunamkandia, vipi kuhusu jina mwanao.
Natamami tubadilike, kama wewe ni Mgogo au Mfipa au Mmakua nk tumia neno ambalo unalijua maana take na unalifurahia.
Tuache ushamba wa kupenda tusivyovijua