UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,603
Et Muafrika anavaa jinzi, suti na tai.Eti mwafrika anaitwa Ali Hussein Idris. Abdalah
Muafrika anadharau tiba za kiasili na kushabikia tiba za kizungu.
Et Muafrika anavaa jinzi, suti na tai.Eti mwafrika anaitwa Ali Hussein Idris. Abdalah
Ni misconception tu...kwani ukienda ukasema unaitwa Xi Jinghuan majambia hayachomolewi?Sasa we nenda msikitini useme naitwa George John Brian uone majambia ya msumbiji yatavyochomolewa!!
Upumbav u kabisaEt Muafrika anavaa jinzi, suti na tai.
Muafrika anadharau tiba za kiasili na kushabikia tiba za kizungu.
Mubarrid upo sahihi kwa majina ya dini kuyatumia haikwepeki . lakini kulidharau jina lako la kilugha na kushobokea jina la Kizungu au Latino ndio ujinga.Jambo lingine kujiita majina yenu ya asili hakuna ubaya ila kuyaponda ya kidini ni ujinga ulio pea.
Ndiyo maana leo hii unakuta mtu anaitwa "Anthony Edward" lakini ni Muislamu,cha msingi majina yawe na maana ila kaeni mkijua ya kuwa majina mazuri yapo,na hakuna majina mazuri kuzidi ya mitume na waja wema.
Ukienda Ulaya ukaitwa Zamoyoni kuna ubaya gani?Mbona wewe mkuu unavaa chupi, boxer, jeans, suti pensi. Kwenye jina tu ndo unaona. Kwa nini usindie mizizi na mchwa? Kwanini usiishi chini ya mti na mpango? Kwa nini usitembee uchi
Kwako tu sio kwa kila mtu. Majina ya kibantu mazuri sna na yapo tofauti kila ukoo una jina lake kama unadhani wazee wetu hawakuwa na akili basi wewe ndio una tatizo.Kiukweli majinaya kibantu hayavutii masikioni.
Si kitu,tuntufye, kokumanyisa, kigwangala, pinda, tundu, kinabo nk.
Umenipa swali juu ya swali..Kwani lazima mtu awe na dini ndio aabudu Mungu?
Akili imegandaMajina ya kiafrika mengi hayana maana nzuri.
Kenya kuna wazungu wamejipa majina ya 'kiluo' na wanazungumza lugha hiyo kwa ufasaha kabisa!Ushamba. Wazungu wakija watakuwa wanashangaa sana. Ni sawa na mtu leo uende ulaya ukute mtu anaitwa Zamoyoni, utashangaa sana.
Shukrani, kujadiliana na werevu elfu ni bora kuliko kujadiliana na mjinga mmoja.Akili imeganda
Majina ya kiafrika yaambatana na mizimu-miungu ambayo ni chukizo mbele za MUNGU.Jina ni neno au maneno anayopewa mtu au kitu au hali Fulani
Nataka kujikita kwenye jina tunalopeana watu.
Kwanini Waafrika tunapenda sana kuwapa watoto wetu majina ya Ulaya, Asia n.k., lakini sisi tuna maneno katika lugha za Kiafrika.
Kwanini usumbuke uingie kwenye mtandao na penginepo.
Tanzania tuna lugha nyingi maana tuna maneno ambayo tungetumia kuwapa watoto wetu.
Hatuwi wa maana ati kwa kuitwa Zebedayo au Hasani au Rebecca au Salha nk
Hatuwi wacha Mungu wazuri kwa majina hayo.
Mtu akiishi au akafuata ya huko nje tunamkandia, vipi kuhusu jina mwanao.
Natamami tubadilike, kama wewe ni Mgogo au Mfipa au Mmakua nk tumia neno ambalo unalijua maana take na unalifurahia.
Tuache ushamba wa kupenda tusivyovijua
Majina asilimia kubwa ni maneno ya lugha ya mahali; yana maana fulani nzuri au mbaya tokana na yule anayetoa. Mfano jina Messi umaarufu wake ndio uliolikuza jina, kiasi cha kwamba watu wameanza kuwaita mtoto Messi.Jambo lingine kujiita majina yenu ya asili hakuna ubaya ila kuyaponda ya kidini ni ujinga ulio pea.
Ndiyo maana leo hii unakuta mtu anaitwa "Anthony Edward" lakini ni Muislamu,cha msingi majina yawe na maana ila kaeni mkijua ya kuwa majina mazuri yapo,na hakuna majina mazuri kuzidi ya mitume na waja wema.
Haya ni majina ya Kiarabu sio ya Kiislamu, uislamu sio jina ni moyo. Walioleta Uislamu huku kwetu ndio wanaoenzi lugha yao na kuona lugha nyingine haina maana. Mungu wa Kiisamu anasikia Kiarabu tu, hasikii mtu anapoomba kwa lugha nyingine. Sidhani kama ni kweli. Mungu ni watu waote husikia lugha yo yote. Mungu ndiye aliyetupa hizo lugha.Kwa cc waisilamu huwezi mpa mtoto jina la kibantu, kichina, kihindi, kikorea, kizungu n.k, hayo itaneni wenyewe. Sisi tunaitana majina ya kiarabu/kiisilamu.
Said
Salim
Abdallah
Abdulkareem
Ali
Aisha
Khadija
Raiya
Kulthum
Amiina
N.k
Haya ni majina ya Kiarabu sio ya Kiislamu, uislamu sio jina ni moyo. Walioleta Uislamu huku kwetu ndio wanaoenzi lugha yao na kuona lugha nyingine haina maana. Mungu wa Kiisamu anasikia Kiarabu tu, hasikii mtu anapoomba kwa lugha nyingine. Sidhani kama ni kweli. Mungu ni watu waote husikia lugha yo yote. Mungu ndiye aliyetupa hizo lugha.