Jina lako lina-trend wapi leo?

Jina lako lina-trend wapi leo?

Hapa jf hakuna cheo chenye jina Hilo punguza wivu wewe 😂 😁
Mimi nimeokoka. Wivu ni dhambi. Hakuna dhambi inayotawala ndani yangu. Ila wewe nakutahadharisha: usije ukaingiwa na kiburi na majivuno kwa sababu ya u-platinum. Kumbuka yaliyompata Lucifer(shetani) alipojiona yuko juu,...alifukuzwa mbinguni na sasa anasubiri kuchomwa moto.
Mithali 16:18
Kiburi hutangulia maangamizi, roho ya majivuno hutangulia maanguko.
 
Nitolee upumbavu mm nipo hapa baa nalewa na bwana wako
Sawa bikra maria
Duh, hayo matusi ni ishara kwamba umeishalewa. Ngoja nikuache kwanza. Pombe zikikutoka soma uzi huu
 
Mimi jina langu na mimi mwenyewe na trend kitaa!
Sawa, endelea kung’ara lakini kwa unyenyekevu na moyo wa upole!

Lakini je, jina lako liliisha-trend mbinguni? Kama bado, tubu huo ulevi na dhambi zako zote, umpokee Yesu leo awe Bwana wako. Jina lako lita-trend mbinguni na wote huko watafurahia
 
Kuna ku trend na sijui???
Afadhali usijue kwamba kuna ku-trend, lakini ujue hali itakavyokuwa Yesu atakapokuja
 
Vipi kuhusu peponi, kuna kitimoto pia? Au sisi wapenda kitimoto tuje huko jehanamu?
 
Leo sielewi Nyuz zangu hazionekan
masaa sasa had ss hv naimba Mapambio
Mods wapitie

A6AB77D8-AACF-4CCE-82BF-E9B22BF49A02.jpeg
 
Sawa, endelea kung’ara lakini kwa unyenyekevu na moyo wa upole!

Lakini je, jina lako liliisha-trend mbinguni? Kama bado, tubu huo ulevi na dhambi zako zote, umpokee Yesu leo awe Bwana wako. Jina lako lita-trend mbinguni na wote huko watafurahia
Kutubu kwa nani?
 
Ninasubiri kipindi cha RAFIKI pale RADIO ONE muda huu.
Ni vizuri kusubiri kipindi cha RAFIKI, lakini kuna Rafiki wa kweli ambaye hakosekani hewani kamwe — Yesu Kristo. Yeye hasikilizwi tu, bali husikiliza. Anapatikana saa zote, na hutuliza mioyo kuliko kipindi chochote cha redio. Ukifuatisha sala hii ya toba, Yesu, Rafiki mwema ataingia ndani yako na kukupa raha nafsini mwako.

Omba (kwa kufuatisha kwa moyo wako wa dhati) sala hii ya toba.
Omba hivi:
“Ee Mungu Baba, nimetambua mimi ni mwenye dhambi. Leo nakuja mbele zako nikiomba msamaha wako. Natubu dhambi zangu zote na kuziacha. Nakiri kuwa Yesu Kristo ni Bwana, na Yeye ndiye Mwokozi wa ulimwengu. Yesu karibu moyoni mwangu utawale maisha yangu kuanzia leo. Naomba unipe nguvu ya kushinda dhambi na kuishi maisha matakatifu. Namkataa shetani na kazi zake zote. Asante Yesu kwa kuniokoa. Katika Jina la Yesu Kristo, ninaomba na kushukuru. Amen.”

Kama umeomba sala hiyo kwa moyo wako wa dhati, tayari umeokoka. Yesu ni Rafiki yako kuanzia leo. Ili umjue zaidi Yesu, anza kusoma Biblia kila siku; pia umuombe Mungu akusaidie kuishi maisha ya utakatifu. Tafuta pia Kanisa lolote linalohubiri wokovu na kufundisha utakatifu, ujiunge nalo, watakupa msaada zaidi wa jinsi ya kuendelea kiroho.

Mungu akutunze, akufunike kwa ulinzi wake, sasa na hata milele. Amen.
 
Leo sielewi Nyuz zangu hazionekan
masaa sasa had ss hv naimba Mapambio
Mods wapitie

View attachment 3429997
Kama umeandika mada ya kusifia ulevi na uzinzi, huenda ndiyo sababu inahitaji kupitiwa kwanza na moderators. Tubu leo, ili ukubalike mbele za Mungu, na mada zako zitakuwa na nuru ya Kristo, kiasi cha kutohitaji kupitiwa!
 
Ni vizuri kusubiri kipindi cha RAFIKI, lakini kuna Rafiki wa kweli ambaye hakosekani hewani kamwe — Yesu Kristo. Yeye hasikilizwi tu, bali husikiliza. Anapatikana saa zote, na hutuliza mioyo kuliko kipindi chochote cha redio. Ukifuatisha sala hii ya toba, Yesu, Rafiki mwema ataingia ndani yako na kukupa raha nafsini mwako.

Omba (kwa kufuatisha kwa moyo wako wa dhati) sala hii ya toba.
Omba hivi:
“Ee Mungu Baba, nimetambua mimi ni mwenye dhambi. Leo nakuja mbele zako nikiomba msamaha wako. Natubu dhambi zangu zote na kuziacha. Nakiri kuwa Yesu Kristo ni Bwana, na Yeye ndiye Mwokozi wa ulimwengu. Yesu karibu moyoni mwangu utawale maisha yangu kuanzia leo. Naomba unipe nguvu ya kushinda dhambi na kuishi maisha matakatifu. Namkataa shetani na kazi zake zote. Asante Yesu kwa kuniokoa. Katika Jina la Yesu Kristo, ninaomba na kushukuru. Amen.”

Kama umeomba sala hiyo kwa moyo wako wa dhati, tayari umeokoka. Yesu ni Rafiki yako kuanzia leo. Ili umjue zaidi Yesu, anza kusoma Biblia kila siku; pia umuombe Mungu akusaidie kuishi maisha ya utakatifu. Tafuta pia Kanisa lolote linalohubiri wokovu na kufundisha utakatifu, ujiunge nalo, watakupa msaada zaidi wa jinsi ya kuendelea kiroho.

Mungu akutunze, akufunike kwa ulinzi wake, sasa na hata milele. Amen.
Amen...najihisi mwenye matumaini.
 
Back
Top Bottom