Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,402
- 54,845
Mdudu hapo unafeli mybe k vant mkuu hapo unyamaNjoo tunywe konyagi plus kvant na mududu
Mdudu hapo unafeli mybe k vant mkuu hapo unyamaNjoo tunywe konyagi plus kvant na mududu
Mama Bikira Maria mkingiwa dhambi ya asili muone zous utuombee
Kisha akaniambia, “Usiyafunge maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, kwa sababu wakati huo umekaribia. Atendaye mabaya na aendelee kutenda mabaya, aliye mchafu na aendelee kuwa mchafu, yeye atendaye haki na aendelee kutenda haki, na yeye aliye mtakatifu na aendelee kuwa mtakatifu.” (Ufu 22:10-11)Njoo tunywe konyagi plus kvant na mududu
Tutapewa miili mipya,,Kisha akaniambia, “Usiyafunge maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, kwa sababu wakati huo umekaribia. Atendaye mabaya na aendelee kutenda mabaya, aliye mchafu na aendelee kuwa mchafu, yeye atendaye haki na aendelee kutenda haki, na yeye aliye mtakatifu na aendelee kuwa mtakatifu.” (Ufu 22:10-11)
Monetary doctor kama hujui maana ya hii kauli: "Atendaye mabaya na aendelee kutenda mabaya, aliye mchafu na aendelee kuwa mchafu..." wewe endelea tu kunywa konyagi plus kvant
Hahahaha kwann nifunge machoEeeeh jmn usisahu kufunga macho
Mududu i love sweetheart, sweet pie, my life mududu plus kvant na nyagi mipawa tuuMdudu hapo unafeli mybe k vant mkuu hapo unyama
min -meSawa, kwakuwa unaing'ang'ania kvant na konyagi, utapewa mwili utakaokufanya uungue na kuteseka motoni milele bila kufa
Iko hivi: ukifa katika dhambi, utafufuliwa baadaye kwa ajili ya hukumu. Utapewa mwili usiokufa, lakini utakaopata mateso ya milele katika ziwa la moto. Mwili huo hautateketea, bali utahisi maumivu mazito na uchungu sana. Hiyo ndiyo inayojulikana kama mauti ya pili.
Duuuh hii itakuta mpaka wahindi na wachina ?Iko hivi: ukifa katika dhambi, utafufuliwa baadaye kwa ajili ya hukumu. Utapewa mwili usiokufa, lakini utakaopata mateso ya milele katika ziwa la moto. Mwili huo hautateketea, bali utahisi maumivu mazito na uchungu sana. Hiyo ndiyo inayojulikana kama mauti ya pili.
Soma Ufunuo 20:10-14 kwa habari zaidi
Ndio. Sio wachina na wahindi tu! Biblia inasema: “Msishangae kusikia haya, kwa maana saa inakuja ambapo wale walio makaburini wataisikia sauti yake, nao watatoka makaburini. Wale waliotenda mema watafufuka wapate uzima, nao wale waliotenda maovu watafufuka ili wahukumiwe." (Yohana 5:28-29).Duuuh hii itakuta mpaka wahindi na wachina ?
Choko wwSawa, endelea kung’ara lakini kwa unyenyekevu na moyo wa upole!
Lakini je, jina lako liliisha-trend mbinguni? Kama bado, tubu huo ulevi na dhambi zako zote, umpokee Yesu leo awe Bwana wako. Jina lako lita-trend mbinguni na wote huko watafurahia
HapanaHilo ni tusi au?