Mlima simba
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 3,847
- 7,014
Hahahahahaha, haoni kundule BrotherHalafu nitawakumbusha ule usemi wa wahenga wa nyani HAONI nini vileView attachment 737820
Hahahahahaha, haoni kundule BrotherHalafu nitawakumbusha ule usemi wa wahenga wa nyani HAONI nini vileView attachment 737820
Kiprotokali; kama una kabiashara/kashughuli flan unaanzia tiaraei halafu ndo unaenda ofisi za uraiaJumatano jiandae kuitwa zile ofisi za uraia
Ndo maana nampenda sanaHahahahahaha, kwenye huu Uzi ukija kichwa kichwa unatoka kapa sio kwa hiyo misamiati ya mumeo
View attachment 737821 Za masiku ndugu yangu!
Kuna kitu kina itwa moto!
Muweke huko utamkunja utakavyo!
Nzuri jamani... Hapana moto hauharibu bali unaweza kubadili umbo.... Unamyeyusha kisha unamtengeneza sululu au jambia au kitanda... Lakini maji ni sumu.. Utaishia kutuView attachment 737821 Za masiku ndugu yangu!
Kuna kitu kina itwa moto!
Muweke huko utamkunja utakavyo!
Maji ni majibu ya yote!Nzuri jamani... Hapana moto hauharibu bali unaweza kubadili umbo.... Unamyeyusha kisha unamtengeneza sululu au jambia au kitanda... Lakini maji ni sumu.. Utaishia kutu
Hahahahahaha sawa brother, ngoja nijiandaeJumatano jiandae kuitwa zile ofisi za uraia
Au kumgawa, kumkatakata vipande na kuanza upya!Nzuri jamani... Hapana moto hauharibu bali unaweza kubadili umbo.... Unamyeyusha kisha unamtengeneza sululu au jambia au kitanda... Lakini maji ni sumu.. Utaishia kutu
Zimefika, tena bila shaka mkuuMfikishie salama zangu dada angu kipenziiii Hajar
UlimbokaInawezekana kweli Abduli Nondo akawa kiunganishi kwa watu wakigoma na kwa wanachuo kama ataendelea kuwa na msimamo wa mwanzoni kabla ya kutekwa