Ni kweli palikuwa na manabii watenda MIUJIZA kabla ya Yesu na hata baada ya YESU. Lakini mara baada ya kifo Cha mtume yohana, hizi habari zilikoma.... Na sasa kitambulisho kikubwa na pekee Cha wakristo wa kweli ni upendo..
JE MIUJIZA YAWEZA TOKA CHANZO TOFAUTI NA MUNGU?
Jibu ni ndio. Hata shetani kupitia mawakala wake hufanya ishara na mambo ya ajabu. Sio kwa NGUVU za Muumba.
MIUJIZA yenye kusisimua Leo ,JE hutendwa na Mungu?
Jibu ni hapana.Sababu zifuatazo
1. Kiwango Cha mafanikio cha
Wagonjwa. KUNDI LA wagonjwa 600 huenda wakapona 24 kwa muda Fulani. Na homa zikawarudia tena...REFER babu wa loliondo
2. AINA CHACHE za magonjwa huponywa.
NGUVU za Mungu Zitamponya yeyote na homa yoyote..
3.Mahusiano ya manabii wa Leo.
Hawapatani, hawapendani.. nabii A hapendi mafanikio ya nabii B . JE Mungu mwenye kuhitaji amani,umoja,upendo, ndiye anayewapa hawa roho yake takatifu?
4.Kutoweza kabisa kumponya kiwete,kiziwi au mlemavu yeyote wa toka kuzaliwa..
5.Watenda MIUJIZA wa kabla ya Yesu walifufua wafu, mfano Eliya,..Yesu Alifufua.. Na wale mitume 12 Walifufua pia..Je wetu wa Leo wanafufua? Au ni kutoa mapepo tu?!!!!
6. Malipo. Watu hutozwa pesa watendewe MIUJIZA.. refer supachaja wa huku kwetu bombihii nyumbihii (hahahahaaahaaa)
KWA HIYO. JE MUNGU huponya watu kwa MIUJIZA Leo? .. nitajibu tena wakati ujao
JE MIUJIZA YAWEZA TOKA CHANZO TOFAUTI NA MUNGU?
Jibu ni ndio. Hata shetani kupitia mawakala wake hufanya ishara na mambo ya ajabu. Sio kwa NGUVU za Muumba.
MIUJIZA yenye kusisimua Leo ,JE hutendwa na Mungu?
Jibu ni hapana.Sababu zifuatazo
1. Kiwango Cha mafanikio cha
Wagonjwa. KUNDI LA wagonjwa 600 huenda wakapona 24 kwa muda Fulani. Na homa zikawarudia tena...REFER babu wa loliondo
2. AINA CHACHE za magonjwa huponywa.
NGUVU za Mungu Zitamponya yeyote na homa yoyote..
3.Mahusiano ya manabii wa Leo.
Hawapatani, hawapendani.. nabii A hapendi mafanikio ya nabii B . JE Mungu mwenye kuhitaji amani,umoja,upendo, ndiye anayewapa hawa roho yake takatifu?
4.Kutoweza kabisa kumponya kiwete,kiziwi au mlemavu yeyote wa toka kuzaliwa..
5.Watenda MIUJIZA wa kabla ya Yesu walifufua wafu, mfano Eliya,..Yesu Alifufua.. Na wale mitume 12 Walifufua pia..Je wetu wa Leo wanafufua? Au ni kutoa mapepo tu?!!!!
6. Malipo. Watu hutozwa pesa watendewe MIUJIZA.. refer supachaja wa huku kwetu bombihii nyumbihii (hahahahaaahaaa)
KWA HIYO. JE MUNGU huponya watu kwa MIUJIZA Leo? .. nitajibu tena wakati ujao