Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,679
- 40,933
Wakuu nipo njia panda ya kuchagua upande. Haya mambo yasikie tu kwa wengine.
Wakati anazaliwa mwanangu huyu mama yake mzazi mwenzangu ndio alisimamia jambo hili ukizingatia kuwa hiyo ndio ilikua taaluma yake.
Sasa jamaa alipozaliwa tu huyu mama akampa jina dogo tuseme jina Y maana ndio alikua mtu wa kwanza kumbeba na kumhudumia wakati mama wa mtoto bado akiwa katika usingizi.
Sasa baada ya hapo tukakaa na Mzazi mwenzangu kujadili official name ya dogo. Tukakubaliana Jina X hili likashika kasi na likakubalika kwetu.
Sasa tunataka kupata cheti cha kuzaliwa. Tangazo la Kuzaliwa linamtambua dogo kwa jina Y ila ipo option ya kubadili.
Sasa upande wangu wakagundua kuwa kuna jina jingine la dogo analotambulika ambalo lipo katika tangazo la kuzaliwa.
Binafsi mimi sina matatizo na jina lolote so long as huyu dogo anabeba DNA yangu either mimi ndio nimempa au mtu mwingine yeyote.
Historically hata mimi mzee wangu hakunipa jina langu familia nzima walipewa karatasi kura nyingi zikaangukia jina langu. So nimepata jina kwa kura.
Ila sasa naona watu wanaanza kununiana tu nani mwenye haki ya kuchagua jina na jina lipi litumike.
Nilichoamua ni kuwa majina x na y yote yaandikwe kwenye cheti. Yaani aitwe YX.
I hope kila upande utaridhika na vita itakwisha.
Wakati anazaliwa mwanangu huyu mama yake mzazi mwenzangu ndio alisimamia jambo hili ukizingatia kuwa hiyo ndio ilikua taaluma yake.
Sasa jamaa alipozaliwa tu huyu mama akampa jina dogo tuseme jina Y maana ndio alikua mtu wa kwanza kumbeba na kumhudumia wakati mama wa mtoto bado akiwa katika usingizi.
Sasa baada ya hapo tukakaa na Mzazi mwenzangu kujadili official name ya dogo. Tukakubaliana Jina X hili likashika kasi na likakubalika kwetu.
Sasa tunataka kupata cheti cha kuzaliwa. Tangazo la Kuzaliwa linamtambua dogo kwa jina Y ila ipo option ya kubadili.
Sasa upande wangu wakagundua kuwa kuna jina jingine la dogo analotambulika ambalo lipo katika tangazo la kuzaliwa.
Binafsi mimi sina matatizo na jina lolote so long as huyu dogo anabeba DNA yangu either mimi ndio nimempa au mtu mwingine yeyote.
Historically hata mimi mzee wangu hakunipa jina langu familia nzima walipewa karatasi kura nyingi zikaangukia jina langu. So nimepata jina kwa kura.
Ila sasa naona watu wanaanza kununiana tu nani mwenye haki ya kuchagua jina na jina lipi litumike.
Nilichoamua ni kuwa majina x na y yote yaandikwe kwenye cheti. Yaani aitwe YX.
I hope kila upande utaridhika na vita itakwisha.