Mwl Mwakujonga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2023
- 286
- 582
Utangulizi
Miaka ya 2000s kipindi kile cha wapenzi wa mpira wa Miguu tunakumbukumbu za mchezaji wa Brasil wakati huo alikuwa ni Ronaldo kwakweli alikuwa ni mchezaji mzuri Sana na kwakufanya vizuri kwa Brasil kulikuwa na mchango Mkubwa sana kutoka kwake
Matokeo Yake wazazi wengi wakawa wanawaita watoto majina la Ronaldo yakawa mengi Kwa watanzani na wapenzi wa mipira Kwa ujumla
Miaka ya 2010's Jina la Obama na watoto wake Sasha na Malia Obama yalikuwa majina maarufu Sana na wazazi wengi waliwapa watoto wao majina hayo.
Kitu ambacho nimekuwa najiuliza kwanini wazazi wamekuwa wakipenda kuwapa majina watoto wao majina hasa ya watu maarufu kama wasanii ,wanamichezo , wanasiasa etc, kuna Siri gani katika Jina la MTU ?
Siri zilizoko kwenye Jina
Kwenye maandiko matakatifu pia tumeona Mungu alipokuwa anawatumia watu wake katika kuwabariki au kuwapa nafasi ambayo ni kubwa ambayo Mungu alikusudia juu Yao aliwabadilishia majina
Mfano tunaona kwa Abraham's alibadilishiwa Jina na kuitwa Ibrahimu , Simon kuitwa Petro ,Saul kuitwa Paul , pia hata wakina Daniel pia walipokuwa babeli walipewa majina pia
Danieli 1:7 Mkuu wa matowashi akawapa majina; alimwita Danieli, Belteshaza; na Hanania akamwita Shadraka; na Mishaeli akamwita Meshaki; na Azaria akamwita Abednego.
Sababu na Siri zilizoko ndani ya Jina
Mithali 22:1 Heri kuchagua jina jema kuliko mali nyingi;...
Point ya Kwanza
Biblia inaposema neno heri maana yake ni baraka, Neno Heri katika Luka 6:20 limetuka kama Blessed ambayo maana yake ni baraka au kubalikiwa,
Kwa hiyo ndani ya Jina kuna Baraka za ambaye anakupa Jina Kwa hiyo kama Jina umepewa na Mungu maana yake kuna Baraka za Mungu na kama umepewa na mababu kuna Baraka za mababu(mizimu)
Point ya Pili
Ndani ya Jina kuna Mali nyingi, kama Biblia inasema ni heri kuchagua Jina Jema kuliko Mali nyingi kihesabu kwamba Jina njema thamani Yake ni kubwa kuliko Mali nyingi Kwa hiyo Jina Jema ni zaidi ya Mali nyingi unaweza kupitia zile Hesabu greater than (x_\y)
Point ya Tatu
Kama Jina Jema ni zaidi ya Mali nyingi inamaana Jina Baya ni chini ya mali nyingi, Kwa hiyo ndani ya Jina kuna utajiri pia ndani ya Jina kuna umaskini , Kwa hiyo Jina linabeba umaskini au utajiri
Kuna watu ni maskini Kwa sababu Tu ya majina ambayo wameyabeba, kuna watu wanaitwa matatizo , shida etc sasa shida nawewe zitakuachaje
Point Nne
Jina limebeba utambulisho wa MTU jinsi ulivyo ni matokeo ya Jina lako
1 Samweli 25:25 Nabali; kwa maana kama lilivyo jina lake ndivyo alivyo yeye; jina lake ndilo Nabali, na upumbavu anao;..
Point ya Tano
Ndani ya Jina kuna tabia za MTU ndiyo maana kama umechagua Jina la MTU ambaye alikuwa ni mlevi au ambaye ameoa wanawake wengi ujue na hiyo tabia itaambana na Yule ambaye amerithi Jina
Waebrania 1:4 amefanyika bora kupita malaika, kwa kadiri jina alilolirithi lilivyo tukufu kuliko lao.
Point ya Sita
Jina linakupa kile ambacho umerithi ,Yesu alirithi Jina la Baba ambalo ni Yesu na aliporithi ilo Jina arithi na ubora ulioko ndani ya Jina Kwa hiyo ubora wa Yesu hauko Tu Kwa Yesu pekee yake lakini pia kwenye Jina
Point ya saba
Jina linabeba sababu ya wewe kuja duniani? Kwa hiyo Jina linatambulisha kazi yako Katika ulimwengu wa Roho
Mathayo 1:21 Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao.
Miaka ya 2000s kipindi kile cha wapenzi wa mpira wa Miguu tunakumbukumbu za mchezaji wa Brasil wakati huo alikuwa ni Ronaldo kwakweli alikuwa ni mchezaji mzuri Sana na kwakufanya vizuri kwa Brasil kulikuwa na mchango Mkubwa sana kutoka kwake
Matokeo Yake wazazi wengi wakawa wanawaita watoto majina la Ronaldo yakawa mengi Kwa watanzani na wapenzi wa mipira Kwa ujumla
Miaka ya 2010's Jina la Obama na watoto wake Sasha na Malia Obama yalikuwa majina maarufu Sana na wazazi wengi waliwapa watoto wao majina hayo.
Kitu ambacho nimekuwa najiuliza kwanini wazazi wamekuwa wakipenda kuwapa majina watoto wao majina hasa ya watu maarufu kama wasanii ,wanamichezo , wanasiasa etc, kuna Siri gani katika Jina la MTU ?
Siri zilizoko kwenye Jina
Kwenye maandiko matakatifu pia tumeona Mungu alipokuwa anawatumia watu wake katika kuwabariki au kuwapa nafasi ambayo ni kubwa ambayo Mungu alikusudia juu Yao aliwabadilishia majina
Mfano tunaona kwa Abraham's alibadilishiwa Jina na kuitwa Ibrahimu , Simon kuitwa Petro ,Saul kuitwa Paul , pia hata wakina Daniel pia walipokuwa babeli walipewa majina pia
Danieli 1:7 Mkuu wa matowashi akawapa majina; alimwita Danieli, Belteshaza; na Hanania akamwita Shadraka; na Mishaeli akamwita Meshaki; na Azaria akamwita Abednego.
Sababu na Siri zilizoko ndani ya Jina
Mithali 22:1 Heri kuchagua jina jema kuliko mali nyingi;...
Point ya Kwanza
Biblia inaposema neno heri maana yake ni baraka, Neno Heri katika Luka 6:20 limetuka kama Blessed ambayo maana yake ni baraka au kubalikiwa,
Kwa hiyo ndani ya Jina kuna Baraka za ambaye anakupa Jina Kwa hiyo kama Jina umepewa na Mungu maana yake kuna Baraka za Mungu na kama umepewa na mababu kuna Baraka za mababu(mizimu)
Point ya Pili
Ndani ya Jina kuna Mali nyingi, kama Biblia inasema ni heri kuchagua Jina Jema kuliko Mali nyingi kihesabu kwamba Jina njema thamani Yake ni kubwa kuliko Mali nyingi Kwa hiyo Jina Jema ni zaidi ya Mali nyingi unaweza kupitia zile Hesabu greater than (x_\y)
Point ya Tatu
Kama Jina Jema ni zaidi ya Mali nyingi inamaana Jina Baya ni chini ya mali nyingi, Kwa hiyo ndani ya Jina kuna utajiri pia ndani ya Jina kuna umaskini , Kwa hiyo Jina linabeba umaskini au utajiri
Kuna watu ni maskini Kwa sababu Tu ya majina ambayo wameyabeba, kuna watu wanaitwa matatizo , shida etc sasa shida nawewe zitakuachaje
Point Nne
Jina limebeba utambulisho wa MTU jinsi ulivyo ni matokeo ya Jina lako
1 Samweli 25:25 Nabali; kwa maana kama lilivyo jina lake ndivyo alivyo yeye; jina lake ndilo Nabali, na upumbavu anao;..
Point ya Tano
Ndani ya Jina kuna tabia za MTU ndiyo maana kama umechagua Jina la MTU ambaye alikuwa ni mlevi au ambaye ameoa wanawake wengi ujue na hiyo tabia itaambana na Yule ambaye amerithi Jina
Waebrania 1:4 amefanyika bora kupita malaika, kwa kadiri jina alilolirithi lilivyo tukufu kuliko lao.
Point ya Sita
Jina linakupa kile ambacho umerithi ,Yesu alirithi Jina la Baba ambalo ni Yesu na aliporithi ilo Jina arithi na ubora ulioko ndani ya Jina Kwa hiyo ubora wa Yesu hauko Tu Kwa Yesu pekee yake lakini pia kwenye Jina
Point ya saba
Jina linabeba sababu ya wewe kuja duniani? Kwa hiyo Jina linatambulisha kazi yako Katika ulimwengu wa Roho
Mathayo 1:21 Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao.