Jina la Mtaa maarufu huko Kinshasa...

Jina la Mtaa maarufu huko Kinshasa...

Cha kushangaza ni kwamba mtaa huu upo in the country where Swahili is a national language, with more than 30M Congolese speaking Swahili. Haya ni makusudi tu, maana hilo neno halina maana kwa kikongo, tshiluba wala lingala (the 3 other national languages). lina maana kwa kiswahili tu!
Mtaa wenyewe umepakana na Av. Batetela, na Batetela speak swahili!

Kwa hiyo ulivyo tembelea hapo je uliuliza jina hilo limetokana na nini? au kuna mtu maarufu alikuwa anaitwa Chipumbu?
 
NObody knows where the name comes from...

Basi usibishe unapo ambiwa kwa wakongoman kutumia majina viungo vya uzazi ni kawaida nimetoa mfano wimbo wa Koffie ule anaimba uma inauma uma inauma sasa hapo kwe u weka K
 
Basi usibishe unapo ambiwa kwa wakongoman kutumia majina viungo vya uzazi ni kawaida nimetoa mfano wimbo wa Koffie ule anaimba uma inauma uma inauma sasa hapo kwe u weka K
Kwanini nisibishe? ni vitu viwili tofauti! huwezi kufanya generality namna hiyo na tusikupinge!
 
Kwanini nisibishe? ni vitu viwili tofauti! huwezi kufanya generality namna hiyo na tusikupinge!

Lete facts zinazo pinga hiyo generality mi nimesha toa tatu mpaka sasa kama hivi Avenue PUMBU, wimbo wa Koffie uma inauma hapo kwenye u weka K kisha na sehemu moja inaitwa kama ile timu ya Angola Libolo sasa weka Mbo na herufi ya mwisho.
 
Cha kushangaza ni kwamba mtaa huu upo in the country where Swahili is a national language, with more than 30M Congolese speaking Swahili. Haya ni makusudi tu, maana hilo neno halina maana kwa kikongo, tshiluba wala lingala (the 3 other national languages). lina maana kwa kiswahili tu!
Mtaa wenyewe umepakana na Av. Batetela, na Batetela speak swahili!

Labda kwa kiswahili chao hilo neno lina maana tofauti?! Hasa tusemeje jamani....
 
Kwanini nisibishe? ni vitu viwili tofauti! huwezi kufanya generality namna hiyo na tusikupinge!

[h=1]Driving directions from Mboro to Bukavu[/h]

<tbody>
[TD="width: 461"]<svg viewBox="128 91 207 398" height="398px" width="207px" style="position: absolute; left: 128px; top: 91px; z-index: 1000;" overflow="visible">
</path></svg>
<map id="gmimap0" name="gmimap0"></map><map id="gmimap1" name="gmimap1"></map>




[/TD]
[TD="bgcolor: #F9F6EF"][/TD]
[TD="width: 300, colspan: 2, align: right"]
<ins style="display:inline-table;border:none;height:250px;margin:0;padding:0;position:relative;visibility:visible;width:300px"><ins id="aswift_1_anchor" style="display:block;border:none;height:250px;margin:0;padding:0;position:relative;visibility:visible;width:300px"></ins></ins>​

[/TD]

</tbody>
 
Labda kwa kiswahili chao hilo neno lina maana tofauti?! Hasa tusemeje jamani....

Hawa wacongoman kutaja majina ya viungo vya uzazi ni kawaida na hakuna tatizo mfano KUTOMBOKA
 
Lete facts zinazo pinga hiyo generality mi nimesha toa tatu mpaka sasa kama hivi Avenue PUMBU, wimbo wa Koffie uma inauma hapo kwenye u weka K kisha na sehemu moja inaitwa kama ile timu ya Angola Libolo sasa weka Mbo na herufi ya mwisho.
Umetaja example 3, I know like 100 Congolese na sijawahi waskia wakisema matusi hadharani. 3 vs 100!
 
images


Hawa nao tusemeje?
 
Umetaja example 3, I know like 100 Congolese na sijawahi waskia wakisema matusi hadharani. 3 vs 100!

Lakini Mwali tukubaliane pasipo kubaliana wacongoman unataka kuniambia hata hiyo Avenue Pumbu au eneo la Mbo.ro hawasemi? au hawatamki bali wanaonyesha ishara kwenye kiungo cha uzazi?
 
Last edited by a moderator:
Khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!! Watu8, unanitukana, kuna kitu unanitafuta, haki ya nani tena!!!!!!!
mmmh! yamekuwa hayo tena loh!! wala sina maana ya kukutukana dada yangu...ndio maana nikaweka na source nisije ambiwa nimefanya editing!!!
 
mmmh! yamekuwa hayo tena loh!! wala sina maana ya kukutukana dada yangu...ndio maana nikaweka na source nisije ambiwa nimefanya editing!!!
Hahahahahahaaaa!! maana umenistua kidogo, ndiyo maana nikasema wacha nikuchimbe mkwara.
 
Back
Top Bottom