Jina la Mtaa maarufu huko Kinshasa...

Cha kushangaza ni kwamba mtaa huu upo in the country where Swahili is a national language, with more than 30M Congolese speaking Swahili. Haya ni makusudi tu, maana hilo neno halina maana kwa kikongo, tshiluba wala lingala (the 3 other national languages). lina maana kwa kiswahili tu!
Mtaa wenyewe umepakana na Av. Batetela, na Batetela speak swahili!
Pengine tungejiuliza pia wenyewe wanalitamkaje jina hilo (matamshi yanaweza kuwa hayana ukakasi kama tunavyofikiri).

Lakini kikubwa ni maana yake. Kwa watu wa jamii ya ki-mbendjele (ambao pia wanapatikana maeneo ya Congo), neno pumbu ni jina la rangi ambayo kwa kiswahili tunaita nyeupe. Katika jamii nyingine ya wa Pende maeneo hayo hayo ya Congo, pumbu ('pumbu a mfumu') ni aina mojawapo ya mask (kinyago?).
 
Hahahahahahaaaa!! maana umenistua kidogo, ndiyo maana nikasema wacha nikuchimbe mkwara.
mara nyingi katika sisi watu8, mtukutu mara zote huwa ni mtu wa 8 na ndiye aliyekujibu pale juu, ila saba waliobakia ni wapole...
 
images


Hawa nao tusemeje?

Ayaaah....ni huko huko?!
 
Cha kushangaza ni kwamba mtaa huu upo in the country where Swahili is a national language, with more than 30M Congolese speaking Swahili. Haya ni makusudi tu, maana hilo neno halina maana kwa kikongo, tshiluba wala lingala (the 3 other national languages). lina maana kwa kiswahili tu!
Mtaa wenyewe umepakana na Av. Batetela, na Batetela speak swahili!
mbona hapa kwetu kuna vijiji vinaitwa Mtombozi, Mkunduge, nk
 
Pengine tungejiuliza pia wenyewe wanalitamkaje jina hilo (matamshi yanaweza kuwa hayana ukakasi kama tunavyofikiri).

Lakini kikubwa ni maana yake. Kwa watu wa jamii ya ki-mbendjele (ambao pia wanapatikana maeneo ya Congo), neno pumbu ni jina la rangi ambayo kwa kiswahili tunaita nyeupe. Katika jamii nyingine ya wa Pende maeneo hayo hayo ya Congo, pumbu ('pumbu a mfumu') ni aina mojawapo ya mask (kinyago?).
BAPende ni watu wa Bas Congo na basically hawa wanaongea Kikongo (from the Great Kongo kingdom). Na najua kwa kikongo neno Pumbu halipo (I asked). Ila kuna vernacular languages zaidi ya 100 ndani kwa ndani ya Kongo kingdom, hivo inawezekana sana moja ya hizo inatumia neno Pumbu.
However, haiondoi kua in the COngolese legislation inakatazwa kutoa jina ambazo "zimekosa maadili". Mfano it is illegal for a parent kumwita mtoto wake Pumbu or vuzi. Tokana na legislation hii, nadhani the Congolese rural authority should be sanctioned kwa kupanga mtaa kwa jina ambalo ni tusi for half of the COngolese people, hata kama lina maana zuri kwa some 100,000 Congolese. what say you?
cc: Fidel80
 
Last edited by a moderator:
...Tokana na legislation hii, nadhani the Congolese rural authority should be sanctioned kwa kupanga mtaa kwa jina ambalo ni tusi for half of the COngolese people, hata kama lina maana zuri kwa some 100,000 Congolese. what say you?
cc: Fidel80
Inategemea na kusudi la kuupa mtaa huo hilo jina. Bado naamini hakuna tatizo kwa wakongomani katika hilo jina (ingalikuwa ni tatizo lisingedumu). Btw, ubalozi wa Canada upo katika mta huo huo wa Pumbu.

Street Address
The Embassy of Canada
17, Pumbu Avenue
Gombe Commune
Kinshasa
Democratic Republic of Congo

Yaani mie "mchaga" nikose haki ya kutumia jina langu -"Mboro" - kwa sababu tu kwa hicho kiswahili chenu halina "maadili"/ lina "ukakasi"?
 
yangoswe tumwachie ngoshwe, tudumishe ya kwetu. pumbu, kumamoto khaaa utata mtupu kuyatamka
 
Ma thread kama haya hua nammiss sana mwalimu wangu Faiza...
 
grafani11 umelisahau LIBOLO la Simaba. Yaani ile timu ya Angola iliyoitandika simba nyumbani na ugenini - LIBOLO
Hahahahahahaaaa, ngoja tusubiri mwakani pengine Yanga anaweza kupangwa na Chipumbu FC.
 
Back
Top Bottom