Jina la Mtaa maarufu huko Kinshasa...

Hilo jina ni kweli kabisa mmoja yupo hapa Tanzania alikuja ofisini kwetu akajitambulisha hivyo, badala ya kumpokea tukaangua kicheko wote, ikabidi tumfupishe tumwite MR MOTO.
Mbona mnaharibu majina ya watu bhana, kama ingekuwa mimi ningegoma kuingia mpaka mni-address kwa jina langu kamili. Halafu unakuta ndiyo nimeleta misaada sitoi mpaka mnitaje jina langu full. LOL.
 
Mbona mnaharibu majina ya watu bhana, kama ingekuwa mimi ningegoma kuingia mpaka mni-address kwa jina langu kamili. Halafu unakuta ndiyo nimeleta misaada sitoi mpaka mnitaje jina langu full. LOL.

Hahahahaahahahaha!!!! Tulikuwa tunashindwa kwa sababu boss wetu alikuwa anatuangalia ka jicho lingine, basi ikabidi tutumie busara tukawa tunamwita hivyo. ingawa tulikuwa tukitoka hapo ni kicheko mpk Gm wetu naye anacheka na kutingisha kichwa, akasema"HAYA MAJINA MENGINE HAYATAKIWI KUTAMKA MAMA MKWE WAKO YUPO" Basi ndipo alipoharibu maana tulikuwa tunacheka kwa star, aliposema hivyo Loh! kila mtu alifungulia koo.
 
Hahahahaahahahaha!!!! Tulikuwa tunashindwa kwa sababu boss wetu alikuwa anatuangalia ka jicho lingine, basi ikabidi tutumie busara tukawa tunamwita hivyo. ingawa tulikuwa tukitoka hapo ni kicheko mpk Gm wetu naye anacheka na kutingisha kichwa, akasema"HAYA MAJINA MENGINE HAYATAKIWI KUTAMKA MAMA MKWE WAKO YUPO" Basi ndipo alipoharibu maana tulikuwa tunacheka kwa star, aliposema hivyo Loh! kila mtu alifungulia koo.
Poleni sana mbona majanga yaliwakuta.
 
Kuna kambi moja ya wakimbizi wa kisomali iliyopo mpakani mwa nchi za Kenya na Somalia inaitwa KAKUMA
 
Kuna rafiki yangu anaitwa Michael Mutombo, kimbembe kilikuja pale alipotupatia kadi za mwaliko wa harusi, maana siku zote tulimfahamu kama Michael.
Kimbembe zaidi ni pale kadi zilipopelekwa ukweni, maana alikuwa anaoa binti wa Kitanzania, dah! bana ya Kongo ni hatari.
 
Cha kushangaza ni kwamba mtaa huu upo in the country where Swahili is a national language, with more than 30M Congolese speaking Swahili. Haya ni makusudi tu, maana hilo neno halina maana kwa kikongo, tshiluba wala lingala (the 3 other national languages). lina maana kwa kiswahili tu!
Mtaa wenyewe umepakana na Av. Batetela, na Batetela speak swahili!
Mh Mwali. sasa unajuaje kama huyo alikuwa mmoja wa Watemi wao.
Hata Wmarekani wanachukia wanapopita mtaa wa Mirambo kwasababu wanadhani ilitakiwa kuwa mtaa wa RAMBO.
 
Cha kushangaza ni kwamba mtaa huu upo in the country where Swahili is a national language, with more than 30M Congolese speaking Swahili. Haya ni makusudi tu, maana hilo neno halina maana kwa kikongo, tshiluba wala lingala (the 3 other national languages). lina maana kwa kiswahili tu!
Mtaa wenyewe umepakana na Av. Batetela, na Batetela speak swahili!

labda tungekwenda mbali zaid na kujua kwao lina maana gani. kwani lawezekana likawa tusi kwetu ila kwao likawa ni jina la mtu.

kwetu Machame MBORO NI jina la UKOO, na mabianti wao huitwa MAMBORO ilihali wakaka huitwa MBORO sasa je wamachame hawaongei kiswahili?? ama hawajui kwamba mboro ni uume?? jina hili kichaga lina maanisha "" enye nguvu"".
istoshe kiswahili ------ NI TUSI kubwa sana ila kimachame ------ ni fimbo(mkongojo)
 
hapana rafiki, kama hili...

3353735576_2142eda8c5_o.jpg

hii natumaini inahamasisha wanaume wafanyiwe tohara
 
Kinyakyusa mtu akikwambia kuwa Ule-'kikuma'.... yaani wewe ni mchoyo mchoyo mchoyo kupindukia.
 
Mh Mwali. sasa unajuaje kama huyo alikuwa mmoja wa Watemi wao.
Hata Wmarekani wanachukia wanapopita mtaa wa Mirambo kwasababu wanadhani ilitakiwa kuwa mtaa wa RAMBO.
Maybe ni mtemi wao, hapo siwezi jua. But niliuliza watu wakanambia nao hawajui jina lilitoka wapi zaidi ya huko chupini
 
Back
Top Bottom