Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,325
- Kuna dalili kubwa sana kwamba huenda hili jimbo likaishia kuwa open soon, I hope CCM wana plan B in works!, na siamini CDM watasimamisha the same candidate, lakini muhimu CCM wakaaanza kufikiria plan B! now!
Es!
Punguza munkar, acha jazba tumwache Jaji afanye kazi yake na kutoa hukumu yake.
Kumbuka kuwa mambo mazuri hayataki papara.
Acha sharia ifuate mkondo wake.